Wakili maarufu wa serikali ametutoka

mjanja1

Member
May 11, 2010
35
37
Wakili maaruf sana wa serikali marehemu Bonifase Stanslaus amefaliki ghafla jana. Habari kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema alipatwa na mshituko ghafla na kufariki mara baada ya kutoka arusha kikazi.
wakili Bon alikuwa ni KICHWA cha AG Chambers na naibu DPP. Yeye ndo wakil wa kesi zote kubwa za jinai ikiwa ni pamoja na ya jery Mulo.jitu.kina mramba. Kina maranda. Za epa zote na za BOT.
pamoja na utumishi wake amekufa akiwa na maisha ya kawaida na yaweza onekana duni kwa wanasheria wa hadhi na uwezo wake. Ikumbukwe jamaa alikuwa ni mrevi na mvuta sigara continously. May be cos ya frustuations! Nilichojifunza kwa proffessional vjana pamoja na wito we need to balance kazi na maisha ya kawaida.
may God Rest his Soul in PEACE. POLEN NDUGU NA JAMAA. POLENI SNA AG CHAMBERS MSIOGOPE WALA KURUDI NYUMA!
 
Wakili maaruf sana wa serikali marehemu Bonifase Stanslaus amefaliki ghafla jana. Habari kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema alipatwa na mshituko ghafla na kufariki mara baada ya kutoka arusha kikazi.
wakili Bon alikuwa ni KICHWA cha AG Chambers na naibu DPP. Yeye ndo wakil wa kesi zote kubwa za jinai ikiwa ni pamoja na ya jery Mulo.jitu.kina mramba. Kina maranda. Za epa zote na za BOT.
pamoja na utumishi wake amekufa akiwa na maisha ya kawaida na yaweza onekana duni kwa wanasheria wa hadhi na uwezo wake. Ikumbukwe jamaa alikuwa ni mrevi na mvuta sigara continously. May be cos ya frustuations! Nilichojifunza kwa proffessional vjana pamoja na wito we need to balance kazi na maisha ya kawaida.
may God Rest his Soul in PEACE. POLEN NDUGU NA JAMAA. POLENI SNA AG CHAMBERS MSIOGOPE WALA KURUDI NYUMA!
nadhani wewe ndio utakuwa mlevi continuosly kwani ulivoandika ni sawa na mlevi
pili hii habari ilitoka tangu juzi ungesoma post za wenzio na kuchangia
lkn kwa ulevi wako umekurupuka. wewe ni nani hadi umhukumu marehemu?
ikumbukwe alikuwa safari na aliporudi hakupunzika alifanya kazi zake tena
ni mtu aliejituma kwa moyo wote, huo ulvei unazungumzia umeutoa wapi?
acha hizo punguza ulevi na kukurupuka
 
nadhani wewe ndio utakuwa mlevi continuosly kwani ulivoandika ni sawa na mlevi
pili hii habari ilitoka tangu juzi ungesoma post za wenzio na kuchangia
lkn kwa ulevi wako umekurupuka. wewe ni nani hadi umhukumu marehemu?
ikumbukwe alikuwa safari na aliporudi hakupunzika alifanya kazi zake tena
ni mtu aliejituma kwa moyo wote, huo ulvei unazungumzia umeutoa wapi?
acha hizo punguza ulevi na kukurupuka
Lokissa hawa member wanakurupuka kweli kwel
 
yan kweli kabsa ya huyu jamaa amekurupuka kabsa.mi nahis huyu jamaa n m2 wa kushiiii?
 
Back
Top Bottom