Wakili maaruf sana wa serikali marehemu Bonifase Stanslaus amefaliki ghafla jana. Habari kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema alipatwa na mshituko ghafla na kufariki mara baada ya kutoka arusha kikazi.
wakili Bon alikuwa ni KICHWA cha AG Chambers na naibu DPP. Yeye ndo wakil wa kesi zote kubwa za jinai ikiwa ni pamoja na ya jery Mulo.jitu.kina mramba. Kina maranda. Za epa zote na za BOT.
pamoja na utumishi wake amekufa akiwa na maisha ya kawaida na yaweza onekana duni kwa wanasheria wa hadhi na uwezo wake. Ikumbukwe jamaa alikuwa ni mrevi na mvuta sigara continously. May be cos ya frustuations! Nilichojifunza kwa proffessional vjana pamoja na wito we need to balance kazi na maisha ya kawaida.
may God Rest his Soul in PEACE. POLEN NDUGU NA JAMAA. POLENI SNA AG CHAMBERS MSIOGOPE WALA KURUDI NYUMA!
wakili Bon alikuwa ni KICHWA cha AG Chambers na naibu DPP. Yeye ndo wakil wa kesi zote kubwa za jinai ikiwa ni pamoja na ya jery Mulo.jitu.kina mramba. Kina maranda. Za epa zote na za BOT.
pamoja na utumishi wake amekufa akiwa na maisha ya kawaida na yaweza onekana duni kwa wanasheria wa hadhi na uwezo wake. Ikumbukwe jamaa alikuwa ni mrevi na mvuta sigara continously. May be cos ya frustuations! Nilichojifunza kwa proffessional vjana pamoja na wito we need to balance kazi na maisha ya kawaida.
may God Rest his Soul in PEACE. POLEN NDUGU NA JAMAA. POLENI SNA AG CHAMBERS MSIOGOPE WALA KURUDI NYUMA!