Mwenye akili ya wastani tu anaweza kujua kati yako na profesa nani ana mtazamo mbovu. profesa amejitahidi kutoa 'positive criticism'. Mimi ni mwanachama wa CDM, nina umri zaidi ya miaka 50 na nilikuwepo Jangwani. Kwa haraka haraka wenye umri kama wangu walikuwa kama asilimia 5 tu. On one hand this is a good thing - CDM kinakubalika na kizazi kipya; but on the other hand it is a challenge - Will CDM meet their expectations. Most are in colleges and soon will be in streets hunting for jobs. Hivyo kama matarajio yao hayatatimizwa wanaweza kuigeka CDM. Mimi sioni ubovu wowote katika kauli hiyo. Maana sote wanaCDM tunaijua. Ni tahadhari ambayo tunapaswa kuifanyia kazi kutoka sasa kabla hatujaingia ikulu 2015.
Shida ya muda ni kwamba walitaka watu wote walioko jukwaani waonekane kwenye luninga. Wangeweza kuwa wameanza saa 9 kwa salamu mbalimbali na kisha saa 10 wakaendelea na mambo mengine kama kuvua magamba, harakati za kufungua matawi, na baadaye hotuba. Hoja nyingine zote za mtoa post zinajitosheleza.
Anayekubali kukosolewa ana maisha marefu. Kifo cha ccm ni kwa sababu ya kukataa hoja zinazoikosoa. Tusiruhusu upofu huo uingie CDM.
Sound like magamba on work!!