Recent content by mizigo mikoa yote

  1. M

    Natoa huduma ya kusafirisha mizigo mikubwa na midogo kutoka Dar kwenda mikoa yote Tanzania

    Fursa kwa wafanyabiashara kusafirisha mizigo yako kutoka dsm kwenda mikoani. Sapphire cargo transportation kampuni iliyosajiliwa kusafirisha mizigo mikubwa na midogo mfano, simu, saa, nguo, kava za simu, vitanda na Madawa Gharama zetu ni nafuu na utapokea mizigo yako kwa wakati,kubwa kulko ni...
  2. M

    Gari la BATCO latumbukia mtoni, mtu mmoja afariki dunia na 25 kujeruhiwa

    Basi ilo linalofanya safari zake kati ya mwanza kwenda musoma limepata ajali asubuhi ya Leo kwa kutumbukia kwenye daraja la simiyu Taarifa mpaka sasa ni kondakta na watoto wengi wamekufa kutokana na kuzama kwa basi hilo na shughuli ya uokoaji unaendelea.
  3. M

    Basi la ABC ladaiwa kupata ajali maeneo ya Chinangali

    Basi ilo linafanya safari zake kutoka Singida kuja DSM limepata ajali maeneo ya Chinangali kwa kugongana uso kwa uso na lori. Hali ya majeruhi sina idadi kamili ila kifo mpaka sasa ni kondakta. Taarifa zaidi wataleta watu wenye mamlaka.
  4. M

    Basi la kampuni ya Mkombe Luxury lapata ajali

    Basi ilo linalofanya safari yake kati ya Dar es Salaam kwenda South Africa limepata ajali eneo la Kabwe (Zambia) Taarifa zaida wataleta wahusika wa kampuni.
  5. M

    Ajali: Basi kampuni ya Tokyo Takara na gari ndogo maeneo ya Nyamwage

    Ajali ya Basi la kampuni ya Tokyo Takara na gari ndogo maeneo ya Nyamwage pale, Taarifa zaida wataleta wenye mamlaka husika
  6. M

    Ajali basi kampuni ya Loliondo

    Ajali imetokea jioni hii Mkoani Arusha maeneo ya Duka bovu ikihusisha basi la Kampuni ya Loliondo Coach na gari ndogo, Ajali iyo imetokea baada ya basi ilo kugongana uso kwa uso na gari aina ya Harrier Taarifa zaid wataleta mamlaka husika
  7. M

    Ajali basi kampuni ya Zuberi

    Basi ilo linaofanya safari zake Kati ya mwanza kwenda kahama limepata ajali Leo kwa kugongana uso kwa uso na gari ndogo. Chanzo cha ajali na hali ya majeruhi watatoa wenye mamlaka husika ila mpaka sasa kuna kifo kimoja cha dereva wa gari ndogo.
  8. M

    Ajali: Bus la Kampuni ya Frester lapata ajali

    Mzee ebu acha kukaza fuvu 98% ya mabus ytu hayana bima ya kulipa mtu au bus kulipwa wengi wanakata 3rd part bima ambayo bei yake haifika hata laki 2 sasa ukate bima ya laki 2 alf ulipwe bus la milion 500
  9. M

    Ajali: Bus la Kampuni ya Frester lapata ajali

    Sio kwl mkuu mpk kampuni iwe imekata bima kubwa 98% ya bus zetu bima zao ni zile za laki 60 mpk 80 yan 3rd part haulipwi walk kampuni hailipwi
  10. M

    Ajali: Bus la Kampuni ya Frester lapata ajali

    Malipo kma gari ipo na bima kubwa ila bus zetu hazina bima kubwa ni 3rd part tuu hata wao hawalipwi sh 0
  11. M

    Ajali: Bus la Kampuni ya Frester lapata ajali

    Basi la kampuni ya Frester Road Ways limepata ajali maeneo ya katikati ya Gairo na Kiyegea, limegongana uso kwa uso na lori. Taarifa za awali ni kuwa dereva wa basi alikuwa anataka kuovertake bila kuchukua tahadhali.
Back
Top Bottom