King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,889
- 7,677
Tupe taarifa vizuri....ilikuwaje kuwaje tenaEsther jana katikati ya Arusha Moshi.
Tupe taarifa vizuri....ilikuwaje kuwaje tenaEsther jana katikati ya Arusha Moshi.
Hapana ni AsubuhiHalafu ni usiku
Mwanga Bibi yakoWe Mwanga!!?
Kuna member humu alikuja na uzi kuwasihi mamlaka wasitishe safari za usiku.
Alitukanwa sana hapa.
Wacha tujionee sasa.
Hiyo picha jamaa kauvaa mti, that is fatigue...alikuwa kasinzia huyo.
Zote ni bus za usikuKwenye hizo ajali sijasikia iliyoripotiwa kutokea usiku?
Zote zimetokea asubuhi au niseme muda wa kawaida wa mabasi. Nafikiri muhimu hapa ni kuwa na madereva sahihi barabarani na ule muda wa kuendesha masaa sijui 8/10 kwa dereva ufuatiliwe bila kujali ni mchana au usiku kuepuka fatigue