Mtoto gani wa kike ww? hujui kujisexsha kwa mwanaume basi hata kwenye cm? au ndo sauti kama ya mheshiwa mdada wa kawe?? mdada kama una mvuto wala kazi c ngumu hadi uje uku??
ni mbaya sana tena ni kosa kubwa kugeuza mimba iwe kigezo cha kuolewa c ajabu hata alikwambia ana mtu wake bidada ukaona mimba itasaidia kwa story yako tu hata ukienda sumbawanga ni bure mapenzi hayalazimishwi wanawake tujifunze kuzaa kwa malengo c kila anaekukojolea unaachia hadi mimba!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.