Hawa ndio vijana wa CHADEMA wanaodumisha chachu ya mabadiliko.
Dada mpendwa, hata sie tulioko vijijini tunakupata vizuri.
Ushauri wangu, Wewe, Zitto Kabwe na John Mnyika, tafuteni muda wa kuzunguka pamoja wakati huu wa kampeni ili kuhamasisha vijana ambao bado wamelala waamke.
Kama...