Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Waldhai ntoto wapendeza, kila nkiona chapisho lako mimate yanjaa n'domoni..nionee huruma mwendhio.
JF imevamiwa! Hivi wewe ni da au ka?
Waldhai ntoto wapendeza, kila nkiona chapisho lako mimate yanjaa n'domoni..nionee huruma mwendhio.
Wanajf naona mbunge wetu lisu anaendelea kuwaburuza wabunge wote wa bunge la tanzania.
Nimesukumwa na hoja ya kwamba ana uwezo wa kusimamia anachokisema(hateteleki),jana amenifurahisha sana pale alipokuwa ananukuu baba wa taifa kuwamaliza mafisadi jairo na wenzake.
Hivyo naaaamua kumpa A++ ya kazi nzuri
JE KUNA ANAYEBISHA???????KAMA WABISHA TOA SABABU
Mboni waendhelea n'dhungusha shida yangu yakhe? wee ndo uliyenteua sasa yakuaje wataka n'geudhia paja badala ya n'gongo? waogopa kirungu weye dhio? ntafanya polepole badhi!JF imevamiwa! Hivi wewe ni da au ka?
Siwezi kukoment kwenye issue ambayo haina msingi.Rejeo sinto kushangaa unapokubali yaishe kimya kimya kama mzee wako kingunge aliyeshindwa kuiabudu hotuba ya jk alipokuwa na wazee wa dar...taratibu utakuja tuu it's the matter of time
Sio mbaya, mradi ujumbe unafika :eyebrows:.kaka unaheshimika jamvini ila kwa hili umechemka