Hakuna kitu cha bure hapa duniani kama wengi wanvyodhani,haya makampuni ya simu yapo katika kuchangisha pesa za kampeni za ccm,huo ndio ukweli ambao haupingiki,Jamani mtaliwa sana kwa kupenda Dezo!!! Badilikeni:becky:
nani alikwambia hicho ni kitu cha bure wakati watu wanakwatwa hela zao? Hii kama ni bahati nasibu, GAMING BOARD wanajua hii?
Mie hadi tarehe 10 mwezi wa 8 nilikuwa napoint za jivunie za Zain 1,100,230. sasa hivi kila wakituma maswali yao, nadelete! I was having fun mwanzoni, lakini naona kama nime DECIka vile.
WAIT, anapoints 700,000*300=210,000,000!!!!! ( MILIONI MIA MBILI NA KUMI!!!), Ama kweli kuna watu wana fweza hapa bongo, hayo ni mavuno ya mwaka mzima!!!!!!!! mwe! hakyamungu ndiyo maana kuna watu bado wanacheza KARATA TATU! Sasa huyu anategemea zawadi gani itayorudisha hiyo fweza? gari yenyewe ni RAV4!!!! my my...............Au mimi mgumu wa kuelewa?