Recent content by missfancy

  1. M

    Biashara ya mchele wa jumla Arusha

    Habari zenu wakuu....je biashara mchele wa jumla jijini arusha unalipa?je mtaji wake unaweZa kua bei gani?na huwa inakuaje....naomba kueleweshwa tafadhali....
  2. M

    Akina dada piteni hapa hii inawahusu

    kama mimi nimechangia nafasi ya hustle yake then kula hela zake ni halali...ila sio jamaa akihustle ulimkataa kaja kufanikiwa ndo unataka akuhonge...binafsi kama mwanamke hapana hio inakua ni tabia mbaya....ride or die ndo mpngo mzima...
  3. M

    Lala chali iingie vizuri yaamsha majirani

    nimependa story yako.
  4. M

    Nilimshauri mlokole aachane na free p na leo amekuja kunishukuru!

    really impressd lara1 umeeleweka na mimi kimsingi...no free pass kwakweli....
  5. M

    Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

    birthdays,annivesary,nyt out,kushow appriciation siku moja moja sio mbaya .....sio wewe daily yeye ndo umempost alafu yeye walaaa sivyo alvyomo....
  6. M

    Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

    kama kuna ulazims naweka ila sio bila sababu ya msingi
  7. M

    Wanawake kwa nini fedha zinawachanganya akili?

    ulimbukeni tu....kutoridhika na hali uliyonayo sembuse na wazazi wake wana tabia izo unakuta wako tayari kuwaozesha watoto wao kwa watu wenye pesa....udhaifu na tamaa...mimi binafsi sibabaishwi na pesa ila naridhika na hali halisi....maana dunia imechafuka....
  8. M

    Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    not so sure about that ila wateva nimeelewa nimefurah...dats all wewe uliesoma hongera zako!!!
  9. M

    Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    vizuri sana kwa kweli mtu kashafkisha miaka60 kapewa mafao ya mamilioni bado unataka ufanye kazi ili iweje kutuzibia rizki tu tulioko mtaani tunaangaika...achia ngazi wakae wengine...binafsi nimefrahishwa staki kujua mengine...kwa mazuri tusifiwe kwa mabaya tukandye....
  10. M

    Nampenda miss chagga

    sasa alienitag mm ili iweje
  11. M

    mgeni

    asante sana prof
  12. M

    mgeni

    naomba kukaribishwa na kuchangia mada.
  13. M

    natafuta kazi ya uwalimu part time

    mimi ni mkazi wa arusha natafuta kazi ya uwalimu wa IT kwa vyuo vyenye masomo ya jioni bei zangu ni nafuu nina degree ya IT.
Back
Top Bottom