Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
mmh kuliko nifie huko nitaiba vihela nirudi bongo... ila asione huyu
Ha ha ha! Huo uwifi utakufa ....? We ongea kwa sauti tu. Unatakiwa uandike kwa kunong'oneza kama hivi!
mmh kuliko nifie huko nitaiba vihela nirudi bongo... ila asione huyu
Ha ha ha! Huo uwifi utakufa ....? We ongea kwa sauti tu. Unatakiwa uandike kwa kunong'oneza kama hivi!
ngoja basi sisemi tena au tule dili nile na wifi yangu
Dili ni la mmoja tu! Mtaanza kugombania mgao wakati hata dili halijatiki.
Ugomvi unaanzia pale mtakapoulizana; Tukiiba 10 we ngapi mi ngapi, mara mimi nichukue 8 maana ni kaka yangu, huku mwingine anasema mi ndiye niliyetumika nichukue nyingi.
Kimya kimya tu.
Pouwa mi nitakupa asilimia moja ya dili
Asante sana, basi nakuombea upate zaidi, maana kadri ya utakavyopata ndivyo na mimi asilimia yangu itaongezeka.
heshima yenu wakuu
mie toka nijiunge humu siyo mtu wa kufatilia life ya mtu wala sipend kujuana juana sana
ila huyu dada miss chagga mie namzimia mbayaa naomba kama hajaolewa anambie nna kaka yangu husband material angefaa sana kuwa wifi yangu nataka nimpeleke kigali!
af mjue ni nini kuna wadada wanajikuta wasafi sana kumbe machangudoa tu, hawana uzuri wala hawajiheshim hata kidg lkn kwa post zao aaaaaah ni malaika!siye kina umu maneno meng meng twaonekana vicheche hahahah
mimi nipo kama nilivyo na ukinchukulia poa me nakuona hamna tu, usimjudge mtu kwa anachokiandika humu
we ar here just kurefresh na kufanya siku iishe n siyo kila tunachokiandika humu ni realty
mpo apo??
mbona we wifi mbea kaka yako mbahili sana mi ndio maana simtaki bwana... i love u nyingi wallet yake hagusi... tokea nimwambie nampenda pia kaacha kabisa kunipa hatahela ya nauli
Haya ni maneno tu hata kwenye kanga yapo. mia"No matter how ​beautiful she looks, someone somewhere is tired of her shit" badilisha hiyo signature yako ndiyo utampata la sivyo watakimbia
Pouwa mi nitakupa asilimia moja ya dili
Haya ni maneno tu hata kwenye kanga yapo. mia
hakuniambia klakini now napmpenda tena kashapata helajamani ngoja niongee naye kwanini amekuwa mbahili tena wakati mm jana tu alinipa hela ya kwenda nayo sabasaba ngoja nimwambie ajui kuwa wewe ni wa muhimu sana tena wewe ni wa pekee sana hapa ulimwenguni?
usimwache bhana labda amefilisiwa mashule yake kwani anadaiwa na crdb bank si unamjui mumeo hakukwambia kuwa ana mkopo mkubw a benki halafu anamiliiki bmw la pritoria yaani jumba la kifahari si mchezo sasa uikimwacha nani ambaye atakwenda kulikalia lile jumba na wakati amekuwekea lehani wewe?
hujambo dada mpenzi...?
Haya ni maneno tu hata kwenye kanga yapo. mia
Mambo vipi mkuu. miamwakani ni vitenge na vikoi am out
hakuniambia klakini now napmpenda tena kashapata hela