Lala chali iingie vizuri yaamsha majirani

Lala chali iingie vizuri yaamsha majirani

wakuu nikiwa na dem wangu tumetulia ndani,huyu dada ni anamatatizo ya macho,
akanituma nikamnunulie dawa hizi za drops,wakati narudi sikufunga mlango.sasa kulikua na majirani wamekaa nje mida ya saa mbili hivi,nilivyoingia ndani nikamwambia kwa sauti lala chali iingie vizuri,sasa majiran walifikiri nimeenda kununua condom kwa muda ule niliotoka,wakanyamaza kimya mala mmoja akalopoka jamaa anakula mzigo,mi sikuwajali.wakati
namuwekea hii dawa akaanza kulalamika uwiiiiiiiiiiii inaumaaaaa kwa sauti,nikamwambia ngoja niweke ya mwisho,akajibu
kwa upole hayaaaa,nikamuwekea kwenye jicho la pili,si akalalamika tena. haaaaa kumbe majirani wamesogea mlangoni
kupiga chabo si nikatoka nikakutana nao uso kwa uso,wakati niko mlangoni dem wangu akasema kwa sauti,naomba usiitupe hiyo dawa utaniwekea na asubuhi,majirani kusikia hivyo si aibu ikawarudi mi nikabaki nacheka tuu.

Nini ukikaa vizuri huingia?
 
dah! mambo haya uswazi yapo, hata kama jamaa katunga lakini ndo maisha ya uswazi.
mi nilipata ishi uswazi halafu nyumba haina "ceiling board"!
 
wakuu nikiwa na dem wangu tumetulia ndani,huyu dada ni anamatatizo ya macho,
akanituma nikamnunulie dawa hizi za drops,wakati narudi sikufunga mlango.sasa kulikua na majirani wamekaa nje mida ya saa mbili hivi,nilivyoingia ndani nikamwambia kwa sauti lala chali iingie vizuri,sasa majiran walifikiri nimeenda kununua condom kwa muda ule niliotoka,wakanyamaza kimya mala mmoja akalopoka jamaa anakula mzigo,mi sikuwajali.wakati
namuwekea hii dawa akaanza kulalamika uwiiiiiiiiiiii inaumaaaaa kwa sauti,nikamwambia ngoja niweke ya mwisho,akajibu
kwa upole hayaaaa,nikamuwekea kwenye jicho la pili,si akalalamika tena. haaaaa kumbe majirani wamesogea mlangoni
kupiga chabo si nikatoka nikakutana nao uso kwa uso,wakati niko mlangoni dem wangu akasema kwa sauti,naomba usiitupe hiyo dawa utaniwekea na asubuhi,majirani kusikia hivyo si aibu ikawarudi mi nikabaki nacheka tuu.



Dah, umeniomndoa raha kwani nami ilibaki kidogo tu nije nipige chabo kutokana na hiyo sauti ya upole.
 
dah! mambo haya uswazi yapo, hata kama jamaa katunga lakini ndo maisha ya uswazi.
mi nilipata ishi uswazi halafu nyumba haina "ceiling board"!

haaa hapo palikuwa patam..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom