Ni takribani wiki mbili mkoa wa morogoro bia za Tanzania breweries ltd zinauzwa kwa kusuasua au kuadimika kabisa mtaani,kwa uchunguzi mdogo nliofanya huu mji una maagent 3 ambao ni munishi focus,gasper masid(chuwa) na Asenga.
Nilichokiona ni wao kubadili biashara kinyemela na kuuza kwa...
Mere allegations transplanted by political motives..jiulize maswal yafuatayo
1. Waliingia vipi dar stock of exchange?
2. Wanaissue vipi shares na kununuliwa?
3. Annual returns wanafile wapi?
4. Name change waliifanyia wapi?
5. TRA walikuwa wanakusanyaje mapato na kuissue tax clearence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.