Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
nikuambie kitu mdogo wangu hata siku moja usikatae hela ya mwanamme asa long hajakuambia anakutakaSijaenda Mimi Dada. Mi pesa za masharti ya kujieleza sijui nini siziwezagi
nikuambie kitu mdogo wangu hata siku moja usikatae hela ya mwanamme asa long hajakuambia anakutakaSijaenda Mimi Dada. Mi pesa za masharti ya kujieleza sijui nini siziwezagi
Sakayo huamini katika upendo wa agape? Vipo vingi vinatolewa pasipo kulana wala kuliwa punguza wogaHuwa naogopa hii "ukila cha mtu lazima nawe uliwe"...
watu wanaandikwa essay huko,, vile vi "hi", "k", "mmh", wanavisahau kwenye pesaKutuma message moja hakuwezi kuwapoteza Mkuu,mbona wamejaa teleee hapa MMU
Umeonaee...Ha ha ha ha h..miss natafuta kuwa mpoleee. Tuliaaa 200k ya kwako Dada
HehehePapuchi Hunter kazini
Karne hii upewe cha bure labda kiwe kimechacha...Sakayo huamini katika upendo wa agape? Vipo vingi vinatolewa pasipo kulana wala kuliwa punguza woga
Mkuu unataka kuniaminisha kwamba ktk maisha yako hujawahi kujisikia kutoa kitu chochote kwa mtu bure kabisaaa kulingana na uwezo wako...lets say umepita mtaani ukakutana na mtoto mdogo alafu una coins za kutosha ukajiskia kumpa coin moja au mbili freeely na hutegemei chochote toka kwa huyo mtoto na wala wewe kutoa hivyo haikuumizi chochote???Karne hii upewe cha bure labda kiwe kimechacha...
Asante kwa upendo wa agape, lakini Hapana
Nitawaibukia kwa bluetooth..hahahah I am joking.Mkuu hakuna cha zaidi ya hicho nilicho eleza hapo,thanks for curiosity.New ID katika utafiti
Wakishajielezea walipo na wanachofanya unataka uwafanye nini sasa?
Mi siji
nikuambie kitu mdogo wangu hata siku moja usikatae hela ya mwanamme asa long hajakuambia anakutaka
Dada you don't know me when it comes to money. Lakini sitaki za misharti hiviKutoa huwa natoa saana tu, lakini natoa sababu naona hali halisi ya mhitaji...Mkuu unataka kuniaminisha kwamba ktk maisha yako hujawahi kujisikia kutoa kitu chochote kwa mtu bure kabisaaa kulingana na uwezo wako...lets say umepita mtaani ukakutana na mtoto mdogo alafu una coins za kutosha ukajiskia kumpa coin moja au mbili freeely na hutegemei chochote toka kwa huyo mtoto na wala wewe kutoa hivyo haikuumizi chochote???
Haha..anataka kula kiulaini,quid pro quo principle itamhusu mtuKutoa huwa natoa saana tu, lakini natoa sababu naona hali halisi ya mhitaji...
Sasa humu mkuu, ati mtu aje ajieleze tuu umpe hela hiyo imekaaje... We peleka hizo hela kwa watoto yatima ama mpe tu mamy wako na leo ni siku mama duniani... Mnunulie zawadi akupe baraka na azidi kukuombea heri
Mie cha bure Sitakiiii