Shemeji ananitega.

Kyoso Mtambo

Member
Oct 27, 2014
17
5
Habari wana JF nina tafiki yangu mmoja hivi ambaye tunaaminiana sana ana mchumba wake ambaye wanapendana sana sasa chakushangaza leo amenipigia simu na kuniambia kuwa mchumba wake anakuja mkoani niliko kwaajili ya kufuatilia cheti chake kwenye shule aliyo soma na anataka nimpokee alale kwangu wakati anajua kabisa kuwa nimepanga nyumba ya chumba na sebule kingine pia huyu shemeji anaonekana kujitega tega kwangu sielewi sijui ni mtego jamaa anataka apime uaminifu wangu hapa nilipo nipo njia panda.
 
Habari wana JF nina tafiki yangu mmoja hivi ambaye tunaaminiana sana ana mchumba wake ambaye wanapendana sana sasa chakushangaza leo amenipigia simu na kuniambia kuwa mchumba wake anakuja mkoani niliko kwaajili ya kufuatilia cheti chake kwenye shule aliyo soma na anataka nimpokee alale kwangu wakati anajua kabisa kuwa nimepanga nyumba ya chumba na sebule kingine pia huyu shemeji anaonekana kujitega tega kwangu sielewi sijui ni mtego jamaa anataka apime uaminifu wangu hapa nilipo nipo njia panda.

....CHUNGA SANA...
 
Kwani tatizo nini?

Mnalala kitanda kimoja ila mnaweka mito katikati mnaassume ni mpaka

Atakayevunja mpaka ndiye atakayeshushiwa lawama

Huyo rafiki yako nae ni bashite.bashite asee
 
Habari wana JF nina tafiki yangu mmoja hivi ambaye tunaaminiana sana ana mchumba wake ambaye wanapendana sana sasa chakushangaza leo amenipigia simu na kuniambia kuwa mchumba wake anakuja mkoani niliko kwaajili ya kufuatilia cheti chake kwenye shule aliyo soma na anataka nimpokee alale kwangu wakati anajua kabisa kuwa nimepanga nyumba ya chumba na sebule kingine pia huyu shemeji anaonekana kujitega tega kwangu sielewi sijui ni mtego jamaa anataka apime uaminifu wangu hapa nilipo nipo njia panda.
Anakutegaje na hajafika?
 
Kwani tatizo nini?

Mnalala kitanda kimoja ila mnaweka mito katikati mnaassume ni mpaka

Atakayevunja mpaka ndiye atakayeshushiwa lawama

Huyo rafiki yako nae ni bashite.bashite asee
Mmmh! kwani lawama ndio nn?
 
Kwani tatizo nini?

Mnalala kitanda kimoja ila mnaweka mito katikati mnaassume ni mpaka

Atakayevunja mpaka ndiye atakayeshushiwa lawama

Huyo rafiki yako nae ni bashite.bashite asee
Hata simuelewi amemanisha nini.
 
Habari wana JF nina tafiki yangu mmoja hivi ambaye tunaaminiana sana ana mchumba wake ambaye wanapendana sana sasa chakushangaza leo amenipigia simu na kuniambia kuwa mchumba wake anakuja mkoani niliko kwaajili ya kufuatilia cheti chake kwenye shule aliyo soma na anataka nimpokee alale kwangu wakati anajua kabisa kuwa nimepanga nyumba ya chumba na sebule kingine pia huyu shemeji anaonekana kujitega tega kwangu sielewi sijui ni mtego jamaa anataka apime uaminifu wangu hapa nilipo nipo njia panda.
Naona uko ktk ubora wako wa level za juu za uboya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom