Mkuu chukua tu hiyo pkpk haina shida, kikubwa zingatia services.
Ni nzuri kwa bodaboda hata matumizi binafsi.
Pia usisahau usafi maana boxer ikiwa safi inapendeza sana
Mi nadhani tuwaache na udhalimu wao na usandiki wao.
WATUPATIE CONTACTS ZAKE WATANZANIA WENYE MIOYO YA HURUMA TUPO WENGI TUTAMCHANGIA MAMILIONI YA PESA
Hawa viumbe wanawake wapo wengi sana sana motoni.
Kuna % nyingi sana cheating za wanaume zinasababishwa na hawa viumbe
Wanatia majaribuni sana wanaume kwa style ya mavazi wanayovaa siku hizi.
Kwa mwanaume aliekamilika ni ngumu sana kuyashinda haya majaribu yao.
Wadau natumia window 10 ktk hiyo simu but shida yangu kubwa nikitaka ku download apps ktk store nafanikiwa kwa apps zenye MB ndogo ndogo, lakini zenye MB nyingi kuanzia 100 na kuendelea inaanza kidogo then ina stop. Pia hizo zenye MB kubwa nikitumia WiFi nazipata vizuri tu mwanzo mwisho.
Je, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.