ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 15,584
- 59,232
Sawa mkuuSalamu zimefika...
Sawa mkuuSalamu zimefika...
Umeumia sana eeehHumu ndani wadada wanavutiwa zaidi na picha fake za models wenye six pack, au gentlemen in suits and fancy cars!
Imefikia hatua mtu akiweka picha yake halisi anaitwa chura!
God is watching!
Ebu kuja huku tuje tugongeane japo glasi ya majiSawa mkuu
Nimeblush kama escobarNimecheka kama becky
Mkuu ndugu yangu nakuona
najaEbu kuja huku tuje tugongeane japo glasi ya maji
We mdada wewe...muogope munguMmmh kama chura
We jichanganye tu
Acha kunisingizia
Hahahaaaaaa. Lol.Shikamoo babu
Hahaaa. Kaka mie pia nataka nikazie hapo hapo.Karibu sanaa mkuu.
Hapa pana kila aina ya watu wenye kejeli,hekma,utani utani,zarau na chuki.
Kifupi ni kama hukohuko tu ulipo la muhimu ni kuwa halisi tu.
Watakuja watu wanakukejeli wala usimind maana wengine ni utani wengine umri unawaruhusu kufanya ivo.
Hahaaa. Kaka mie pia nataka nikazie hapo hapo.
Na kjf jf lazima ashangaliwe sababu hakuna wanaojirusha kiasi hiki.
Hongera mgeni karibu jf. Lol.
Ahsante sana. Ila kimya sana aiseeee kulikoni?Hahahaha aya banah dadaa.
Sema uwe na jioni njema yakhe.
Basi tu so ndo huu msemo ati lazima tuishi sawa,Ahsante sana. Ila kimya sana aiseeee kulikoni?
Duuh!! You just really made my dayMmmh kama chura
We nka ticher ka HGK niniludi = rudi
mahara = mahala.
Itakua vizuri kama atakuchukua na wewe ili mrudi wote Facebook!
I second you alafu unakutaa na wanaume wanashabikiaa mwanaume mwenzao kusemwaa yaan wanaume wa jf jaman nimewashindwaaa ..mbona huyu baba anafaa kabisa kwa matumizi jaman daaaah ilaa watu wanadhambi saanaaa ...Karibu sanaa mkuu.
Hapa pana kila aina ya watu wenye kejeli,hekma,utani utani,zarau na chuki.
Kifupi ni kama hukohuko tu ulipo la muhimu ni kuwa halisi tu.
Watakuja watu wanakukejeli wala usimind maana wengine ni utani wengine umri unawaruhusu kufanya ivo.
Daah!Haya wale wajane mshindwe wenyewe.
Hapana,nilikua na binti yangu akaniambia "mum, it looks like a frog"
Nikakumbuka watoto ni malaika wanaona yaliyo gizani.
Kweli kabisa Kaka ake.Basi tu so ndo huu msemo ati lazima tuishi sawa,
Basi purukushani tupu unahangaika weee kutafta unarudi kutupu.
Sema neema ipo yaja baada ya hili kupita la dhiki.