Hakuna kufa mtu wala nini bali rais wako atabaki kuwa mpinzani tu. Chama chako kimetufanyia mazuri yapi mpaka iwe lazima kiongozi wenu huyo achukue nchi? Labda kama nchi itagawanyika ki ukanda anaweza kupata kanda moja tu uijuayo.
Nchi itaongozwa km ifuatavyo.
Mkuu -E Lowassa
Naibu-Duni
PM-Mbowe
W mambo ya ndani-Lema
Naibu-Anold Mtui
Fedha-A Massawe
Naibu-suzan Munuo
Viwanda-Dr Helman Palangyoo
Naibu-Evarist Nyari
Ujenzi-Vincent Ngowi
Naibu-Benald Shirima
Natania tu.
Salama wana jf,
Ningependa kutoa mawazo yangu hasa kuhusu watumiaji wa barabara hasa kwenye maeneo ya pundamilia ama zebra, kumekuwepo na namna tofauti ama uelewa tofauti kwa baadhi ya matumizi sahihi ya eneo hilo, kuna watu wanalitumia kwa kupita bila kuwa na tahadhari yoyote, mtu anakata...
Hakuna chama kitakuletea pesa kijana!
Maisha ni kujipanga wewe kama wewe tu, hakuna awezaye kubeba mzigo wa mwingine hata kama atatoka chama gani elewa. Kila mmoja anajihangaikia kwa namna anavyoweza, wale uwaonao majukwaani wanazungumza na kudondosha machozi wana yao vichwani mwao, ni...
Dunia hii ina maajabu mengi sana!
Kuna siku rangi zitabadirishwa majina yake, bluu itaanza kuitwa nyekundu, nyekundu itaitwa njano, njano itaitwa kijani!
Jua litaitwa mvua na mvua itakuwa jua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.