Duh Double cola umenikumbusha Tabora miaka ya '85 wakati huo Railway wameshika hatamu hasa!
Eheeeee, wakati huo watotowote sikukuu lazima wapelekwe Tabora hotel, enzi za disco toto, we mbaya wewe, umenikumbusha utoto aisee haya bana.
Duh Double cola umenikumbusha Tabora miaka ya '85 wakati huo Railway wameshika hatamu hasa!
View attachment 281145
Unaweza ukawa Mjukuu wangu kama nane hivi! Hiyo Iyunga Sekondari 1966 Ulikuwepo?
tehtehtehtehhhh, haya niambie hapo kwenye picha wewe ni yupi?
Walio kaa chini kabisa watatu kutoka kulia kwa wahindi nimevaa " ndopa" nyeupe.
Kwa nini soda za sasa hazina gesi kali km zamani,
Nakumbuka wakati huo ukinywa lazima gesi ikutokee puani na machozi yanakutoka kdg.
Bingwa moja unalewa siku tatu? Hii kali...................Vitu vyote vya Siku hizi vimepunguzwa "makali" Enzi zetu ukinywa Bia Bingwa moja unalewa siku tatu, Konyagi haifunguliwi bila kuipiga kwa chini tofauti na sasa unajifungulia tu vivyo hivyo hata soda zilikuwa na gesi nyingi ukinywa lazima tumbo lijae.
Wakuu mnaikumbuka soda iliyokuwa ikizalishwa na kiwanda kimoja huko Mwanza iitwayo DOUBLE COLA?
Nakumbuka soda hiyo ilikuwa nzuri sana kiasi kwamba ilitishia soko la soda zingine zenye majina makubwa. Mafisadi watakuwa walikifanyia fitna ili waendelee kutunyonya na soda zao zinazotoa harufu mdomoni na ukakasi kibao.
Nakumbuka sana, nilikuwa Mwanza miaka ya sabini. Slogan yao ilikuwa "No single Cola beats our Cola!
Miaka ya sabini mbali. ..late 80's zilikuwepo Mwanza. .hadi kulikuwa na kituo cha mabasi kinaitwa double cola. Ikawa tukija dar tukiagiza soda tunaomba double cola wanabaki kutushangaa hadi unajistukia umekosea...
Cocacola na Pepsi ndio Soft drink duniani kote Hizo sijui Double drink sijui Azam Cola wapeni watoto wenu.
ALL IN ALL
#CHANGE IS INEVITABLE
Miaka ya sabini mbali. ..late 80's zilikuwepo Mwanza. .hadi kulikuwa na kituo cha mabasi kinaitwa double cola. Ikawa tukija dar tukiagiza soda tunaomba double cola wanabaki kutushangaa hadi unajistukia umekosea...