amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
Mimi sishangai private citizens kuwa mafirauni japo kuwa napinga. Kinachonishangaza ni makanisa kubariki michezo huu miongoni mwa viongozi wake. Hawa Lutherans wanasema kama unamtafuna na kutafunwa na mmoja tu basi ni ruksa.
Hivi Wakristo munapoona mapadri wenu wanabariki uhani.dhi na ubasha huwa munajisikiaje. Bado munaamini hawa watu na hizo dini ni za haki mbele ya Mungu?
Sohoji 'wahuni' wachache kufanya mambo kinyume na dini, hapa tunaona dini inabariki huu uchafu.
http://www.washingtontimes.com/news/2009/aug/22/lutheran-church-to-allow-gay-clergy-couples/
Mzanganyika; walutheri hawarusiwi kuoa/kuolewa zaidi ya mke/mme mmoja sembuse shoga, hivyo sio kweli kuwa Lutherans kama unamtafuna na kutafunwa na mmoja tu basi ni ruksa. Umemkosea Mungu na walutheri kwa ujumla, hivyo, waombe radhi kwa kuwadharirisha.