Elimu bora na ajira kwa vijanaLowassa ana dira gani binafsi?
Kwa hiyo Mkapa alileta maendeleo? Mimi nilisikia aliuza mashirika na benki kwa bei ya kutupa, akafanya biashara akiwa ikulu, akanunua rada kwa bei ya juu, engineer wa EPA, kajibinafsishia mgodi wa kiwira, akajiuzia nyumba za serikali, akaanzisha kampuni ya biashara akiwa ikulu, akawaua wapemba baada ya kuwapora ushindi wao mwaka 2001 akitengeneza wakimbizi wa kitanzania kwa mara ya kwanza katika historia.Atakapoanza kampeni tarehe 22 mwezi huu ndipo mtajua kuwa jamaa alikuwa amehifadhi nondo a.k.a madini yake na atakuwa akiyatoa hadi nyie watu wa chadema na ukawa mtabadili uamuzi na mtampigia kura wenyewe. Kwani si hata mkapa alipopitishwa na ccm mlikuwa mnamdharau hivi hivi lakini aliposhika tu nchi je mafanikio tuliyaona au hatukuyaona? Psychologically binadamu wamegawanyika katika makundi haya mawili ya kitabia " extroverts " na " introverts " ambapo extroverts ni waropokaji, wazungumzaji na wataka sifa na publicity na hapa lowassa wenu ndiyo mahala pake lakini introverts huwa ni wataratibu, wana uhakika, wanajiamini na huwa na upeo mkubwa na akili nyingi na hapa magufuli ndiyo mahala pake.
Waliishatafuta muda mrefu mafisadi wa kuwasupport hivyo tayari wana mtaji wa urais na wanajua ni namna gani watarejesha kwa wafadhiri wao wakiupata urais.
Kama kuna mtu hakujiandaa huyo ndiye anafaa kuwa Rais maana hana deni na mtu.Ogopa sana kwenye ncgi zetu maskini kuwa na Rais aliyeununua urais.
Jiongeze kiakili, hayo makundi yaliyojiandaa ndio hatari kwa nchi yako,endelea kushangilia kibwege wakati wenzako wako kwenye biashara ya kununua nchi.
Tuliishajifunza makundi yaliyomnunulia urais Kikwete yalivyosumbua ili yalirudishe pesa zao,baada ya kukosana na Kikwete yakahamia huku na sasa kwa nguvu kibwa zaidi wamewekeza kwa Lowassa na Mtanzania mzalendo eti anaona fahari kuwa na urais wa kununua.Kama una watoto pole yao.Tumepewa vichwa ili tufikiri na sio kufugia nywele.
Kwa hiyo unataka kutuaminisha aliyekatwa ndiye fisadi ndani ya CCM? Kwa miaka takriban nane ambayo alikuwa nje ya serikali ufisadi ulikoma?Mambo mengine ya ajabu sana mkuu, miaka takribani nane watu wanaimba, ufisadi, ufisadi, jamani ufisadi. Kikwete na ccm yake kaamu haya ngoja tufanye maamuzi ya kijasiri Dodoma, Maana kilichofanywa Dodoma lazima kuwa na Roho ya jasiri kwelikweli.
Sasa waimba kupinga ufisadi ndio namba moja kukumbatia ufisadi. Sikutegemea hata siku moja kuwa tuna baadhi ya wanasisa bogus wa kiwango cha juu kiasi hiki tunacho kishuhudia sasa.
Mambo mengine ya ajabu sana mkuu, miaka takribani nane watu wanaimba, ufisadi, ufisadi, jamani ufisadi. Kikwete na ccm yake kaamu haya ngoja tufanye maamuzi ya kijasiri Dodoma, Maana kilichofanywa Dodoma lazima kuwa na Roho ya jasiri kwelikweli.
Sasa waimba kupinga ufisadi ndio namba moja kukumbatia ufisadi. Sikutegemea hata siku moja kuwa tuna baadhi ya wanasisa bogus wa kiwango cha juu kiasi hiki tunacho kishuhudia sasa.
Sheria inamzuia kuanza Kampeni. Subiri muda wa Kampeni uanze.Kila ninapomsikia Magufuli akisema Sitawaangusha nabaki kucheka tu
Sote tunajua Magufuli anataka kuwa rais kwa 'ajali' tu..hana dira wala maono ya kiongoz mkuu wa nchi zaid ya kusubiri ilani ya CCM kama anavyosema kila siku..kwa kukosa dira binafsi ni wazi atatuangusha tu kwa sababu HAKUJIANDAA
Upo sahihi kabisa, sasa wanachotaka ni kuwapa promotion wezi ili kujenga utamaduni kwenye nchi kuwa unaweza ukaiba/kufisadi utakavyo alafu wakati wa uchaguzi ukamwaga pesa na Watanzania walivyo wajinga watakushangilia na utashinda.
Hii ndio imefanya ufisadi ushamiri,na leo waliokuwa wanapaswa wawe wazalendo eti wamegeuka wapiga debe wa wezi walewale, hii haitaishia hapa,itawatafuta wenyewe wanaoshangilia leo, itabidi tukubaliane kama taifa baada ya hapa kuwa ufisadi sasa ni ruksa,tusisikie tena kelele za watu kulialia juu ya ufisadi maana kwa matendo yao wanaonyesha wanapenda watu wanaofanya hayo.
Watu ata hawajiulizi yule mtu waliyekuwa wanamsifu humu kama makini na mzalendo, Dr Slaa,kwanin kagoma?wanaishia kama watoto wadogo kujijibu kwa majibu marahisi..uchu wa urais, kweli ni rahisi sana kuyatawala mazuzu.
Kenyatta aliwahi kumtania Nyerere kuwa anatawala maiti zisizojitambua,kwa hili naanza kumuunga mkono Jomo Kenyatta, hawa watu sio wazima.
Jiongeze kiakili, hayo makundi yaliyojiandaa ndio hatari kwa nchi yako,endelea kushangilia kibwege wakati wenzako wako kwenye biashara ya kununua nchi.
Tuliishajifunza makundi yaliyomnunulia urais Kikwete yalivyosumbua ili yalirudishe pesa zao,baada ya kukosana na Kikwete yakahamia huku na sasa kwa nguvu kibwa zaidi wamewekeza kwa Lowassa na Mtanzania mzalendo eti anaona fahari kuwa na urais wa kununua.Kama una watoto pole yao.Tumepewa vichwa ili tufikiri na sio kufugia nywele.
Kwa hiyo unataka kutuaminisha aliyekatwa ndiye fisadi ndani ya CCM? Kwa miaka takriban nane ambayo alikuwa nje ya serikali ufisadi ulikoma?
Alihusika na ESCROW, mabehewa mabovu TRC? EPA,uuzaji wa nyumba za serikali? Ikulu wako hasa msemaji wake Salva Rweyemamu hujibu mapema sana tuhuma zinazohusisha Ikulu ili akina Tomaso tujiridhishe mbona kakaa kimya baada ya EL kusema mamlaka ya juu(JK) ndiyo ilihusika kulazimisha mkataba wa RICHMOND usainiwe,sasa tumemjua mwenye dili hebu tuaminishe katika tuhuma lukuki za ufisadi zilizotokea hapa nchini na EL. Kama huna basi kaa kimya
Msitutoe kwenye hoja za msingi. Awe amejiandaa au hakuandaliwa, matatizo yanayolalamikiwa na wananchi wengi hayajaletwa na Magufuli, yameletwa na mfumo mbovu wa CCM. Yeyote anayesimama kutetea mfumo huo hatapata kitu mwaka huu. Hiyo ndiyo point. Msitupotezee muda kujadili kuandaliwa au kutoandaliwa. Hiyo siyo ajenda ya wapiga kura.
MAFUNGUO HANA MVUTO MBELE YA WANANCHI HANA USHAWISHI WOWOTE NI VIGUMU SANA KUIONA MAGOGONI LABBA APITE PALE MBELE NA GARI YAKE YA TINTED RAISI HUWA HAOKOTWI BALI LAISI ANAANDALIWA MAFUNGUO KAOKOTA DODO WE UMAFIKIL ANGEIPATA MH MEMBE HII NAFASI UNGEONA CHECHE ZAKE NA UNGE AMINI KWELI HUYU MTU ALIKUWA ANAUTAKA URAIS SIO HUYO FUNGUO WENU....poleni sana kwakupewa kiongoz asiye na mvuto kwa taifa hii ni hasara kubwa sana ya CCM
Atakapoanza kampeni tarehe 22 mwezi huu ndipo mtajua kuwa jamaa alikuwa amehifadhi nondo a.k.a madini yake na atakuwa akiyatoa hadi nyie watu wa chadema na ukawa mtabadili uamuzi na mtampigia kura wenyewe. Kwani si hata mkapa alipopitishwa na ccm mlikuwa mnamdharau hivi hivi lakini aliposhika tu nchi je mafanikio tuliyaona au hatukuyaona? Psychologically binadamu wamegawanyika katika makundi haya mawili ya kitabia " extroverts " na " introverts " ambapo extroverts ni waropokaji, wazungumzaji na wataka sifa na publicity na hapa lowassa wenu ndiyo mahala pake lakini introverts huwa ni wataratibu, wana uhakika, wanajiamini na huwa na upeo mkubwa na akili nyingi na hapa magufuli ndiyo mahala pake.