Acha tu wafanyabiashara wakwepe tu kodi wasaidie familia zao kuliko kulipa Kofi ambayo mwisho Wa siku haziendi kwenye miradi ama kuendesha seikali badala yake watu wamekaa tu kusubiri namna na mbinu za kugawana..
Mkuu hii mada ipo mahala pake. Wazazi tunakosea sana kulala na watoto. 1st born wangu 2yrs alishaanza kuleta shida. Hataki kuona hata tumekumbatiana. Anatutenganisha kwa kulala ktkt. Nikajua haifai faragha mbele ya watoto hatakama ana mwaka na nusu.
Dah nimecheka sana. Mnakumbuka mambo ya kupinga? Siku nzima mkono makalioni ukitoa Tu Boonge la buti linakuhusu... Basi kutwa nzima unashikilia kalio kama unazuia mavi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.