Kama unabisha jaribu

Kama unabisha jaribu

KAMA UNABISHA JARIBU

1: Huwezi kuweka sabuni kwenye macho.
2: Huwezi kuhesabu nywele za kichwani.
3: Huwezi kupumulia PUA wakati ULIMI uko nje.
4: Najua umejaribu hilo la 3.
5: Umeonekana km mbwa..
6: Unacheka kwa kua nimekufanya mbulula.
7: Lazima uwatumie wenzako ili ulipize.

nawe ulitumiwa
 
Back
Top Bottom