Shilingi bilioni 800 zayeyuka bandarini

Shilingi bilioni 800 zayeyuka bandarini

Ndulu ukimuuliza kwa nini fedha inashuka kwa kasi ivi atajibu manunuzi ya BVR na mabehewa feki. Professor huyoo...
 
Hiyo ndio ilikuwa sababu ya Kumtoa Mwakyembe ili waibe, mission accomplished

Hizo ziliibiwa wakati wa Mwakyembe na ndio maana alimuweka yule kilaza wake Madeni ili apate kuiba fedha za uchaguzi!! Sitta ameushitukia hata mpango wake wa TRENI ambao ameusimamisha!!
 
Hili ni shamba la bibi kwani kila mtu anajichukulia tu hakuna mlinzi; hata pale wanapokamatwa kama walivyokamatwa wakina GURUMO wa escrow hawafanywi kitu kwasababu tu kwao Msoga!!!
 
Hiyo ndio ilikuwa sababu ya Kumtoa Mwakyembe ili waibe, mission accomplished

Hizo ziliibiwa wakati wa Mwakyembe na ndio maana alimuweka yule kilaza wake Madeni ili apate kuiba fedha za uchaguzi!! Sitta ameushitukia hata mpango wake wa TRENI ambao ameusimamisha!!
 
waziri mwakyembe ana kazi,huku mabehewa feki huku bandari,jamaa kakaa muda mfupi kapiga loss ya trillion na usheee
 
jina linasadifu= madeni kipande ilikuwa ni lazima aweke madeni ambayo cag amekagua kipande kimoja tu kapata upotevu bil.800 pande lingine la utoroshwaji wa nyara na magogo na tembo ni lazima akute trion 1
 
Ufisadi ni sawa na mchwa, ukianza unatafuna kila kitu, haubakizi hata kidogo.

Wanaokula rushwa wanajulikana, na ni hao wenye dhamana ya kuilinda nchi na rasilmali zake.

Kama wameweza kutorosha twiga mchana kweupe, kukwepa au kusaidia kukwepa kodi, kwao ni sawa na kunywa mtori na chapati asubuhi pale Kigogo Kwa Mangi.
 
Hongera CAG kwa kazi mzuri japo utekelezaji naamini utakuwa 0. Ila Unastahiji kuwa waziri mkuu
 
Hahahhahaaaaa kazi ipo, Uchaguzi wa mwaka huu utakua wa pesa tu, huna pesa kaa kando
 
Acha tu wafanyabiashara wakwepe tu kodi wasaidie familia zao kuliko kulipa Kofi ambayo mwisho Wa siku haziendi kwenye miradi ama kuendesha seikali badala yake watu wamekaa tu kusubiri namna na mbinu za kugawana..
 
ofisi ya mwendesha mashtaka, polisi, takukuru na usalama wa taifa inaonekana hakuna watu wenye weledi kufanya kazi sambamba na cag
Toka lini mwajiriwa kumwajibisha bosi wake. Hata wakiwa na taarifa wanaogopa.
 
Back
Top Bottom