Recent content by MIMI NANI TENA

  1. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Hatimae mimi ndio wa mwisho na nimeshinda huu mchezo. Utakae koment baada yangu wew ni mke wangu.
  2. M

    Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

    UDOM inakutekenya na kukuwasha huko...ø...
  3. M

    Salaam kama hizi tafsiri yake nini?

    wabongokilakitu tunawaza ngono. kwahyo unataka ushaur?
  4. M

    Wazazi wangu wamenivunja moyo kwa kumkataa mchumba wangu

    hiyo ndioshda ya sisi vijana. Utampelekaje mchumba home kabla hujawaapa wazaz taarifa au historia fupi ya mchumba wako? Ungesema mpema ungejua wazaz wako wanamtazano gani
  5. M

    Naombeni ushauri wenu wa haraka

    pole dada yangu. yan had nmejihis kuulia. ila nakuomba utulize akili kwanza sikuhiz matapeli wa matatzo kamahayo ni wengi wasje wakakupa tiba hewa au itayodhuru afya yako. ongea tena na madaktar wa hosptal tofaut uskie wanasemaje... mungu yu pamoja nawe iposiku utarud kutushuhudia umejfungua salama
  6. M

    Msaada: Eti nilipe mahari milioni nne (4,000,000)?!

    4m...? ok ndo mana wanawake wanapgwa kilasiku, how comes? yan mtu aksha ona hvyo kwa penz linakufa ganz gafla na hata hao wakwe jamaa hatakua na amani nao, sasa itokee bint umekosea ndan ya nyumba lazma jamaa akupge kpgo cha milioni 50.. oya kawambie pesa uliyonayo kama hawatak mtie mimba uyo...
  7. M

    Network inakata juu ya Neymer

    mmmmh acha mwenzio ateme ung'eng'e atajulia wapi "poor? ukitaka ugomvi endelea kumrekebsha mtu kama huyo atakusemea kwa "dad he" wake
  8. M

    Network inakata juu ya Neymer

    kudadadadek mie sjui english lakn makosa ya kijinga kama hayo siwez kuandka, je ukiambiwa uongee si ndio unatapika ugali mbich? kwa upande wa kumpenda mtu maarufu hilo ni jambo la kawaida dunian kote kwa mashabik wa mchezo wowote
  9. M

    Nimeshangazwa na hili la ubaguzi halmashauri ya Mbeya

    acha unafki wa kshoga we dogo, hakuna afisa elimu wa mbeya anaweza kufanya hvyo, alaf ujue hao maafisa wenyew wote ni wagen hapo mbeya iweje ubaguliwe? manispaa ya mbeya ukienda hujui kujieleza unatetemeka na hujiamini ujue imekula kwako, wanakushinda mabibi na mababu wanatoka miliman na...
  10. M

    Wanyakyusa punguzeni uchawi kwa wageni tuje kuwekeza mbeya

    inaelekea hata shule hujaenda, mbeya ni kimji kdogo? bas muulize hata mtoto wa chekechea akufundshe geograph... acha watu wenye uwezo wajisifu, kujiona mnyonge ndo kunafanya watu mshndwe kujieleza uwezo wenu
  11. M

    Hivi kwanini wahitimu wa Udom wanapata ajira sana

    tatzo watu wanapenda kuish kwa propaganda uchwara, hakuna chuo kscho na mapunguf, lakn kuhusu udom hiv sasa wamepga hatua kubwa sana, last year ofisin kwetu tulifanya interview ndio tukajua udom wapo smart sana kuanzia kujieleza kufikir nidham na kiutendaj, tulitoa case study moja then...
  12. M

    Nimfanyaje huyu baba?

    jaman sio vzur wew, embu mpe anachotaka baba wa watu, tuoneanea huruma maisha yaendelee
Back
Top Bottom