Mnazurula tu mtaani badala ya kukaa bungeni kujadili mambo ya msingi, sisi wananchi tuko bize na kazi msije huku kabisa, hatuna mda na porojo zenu, bajeti inaendelea mko mtaani, mmelogwa??????????
Huge ni rais wa watu makini, wanaomchukia ni wale ambao either wametumwa kufanya hiyo na INVISIBLE HAND, WAO, au ni wachawi , au ni profound mental disturbed, au ni wezi ambao baadhi wametumbuliwa au wamebanwa sehemu, NONSENSICAL
Walipwe kwa walichofanya, per kitambulisho@500mia tano kila kitambulisho, wingi wa vitambulisho ulivyotengeneza ukizidisha Mara mia tano ndo hela anayopaswa kulipwa mtu, other wise karibu mtaani mywe banana
AMERICA is not a garden where any body can decide what to plant, it has its own international policies that governs who and how should the govt admnstration be for the benefit of the whole globe. TRUMP is insane, has his schizophrenic syndrome which drives him to talk , do , decide , and resolve...
Mimi niliwahi kulima mihogo ya KAEMP ina soko sana huko UGANDA, nililima miche elfu tatu, nlipo vuna, nikapata karo nikaja hapa Dar nikajiunga na chuo cha ualimu STMARYS nimemaliza nasubiri post, kazi ya kilimo hiyo. Big up Massanja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.