Recent content by milundi

  1. M

    Mbowe: Tunazuiwa kutembelea matawi ya CHADEMA

    Mnazurula tu mtaani badala ya kukaa bungeni kujadili mambo ya msingi, sisi wananchi tuko bize na kazi msije huku kabisa, hatuna mda na porojo zenu, bajeti inaendelea mko mtaani, mmelogwa??????????
  2. M

    Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

    Haaaaahaaaaaahaaaaaaa, eeeeeeeh, uuuuuwi, nimecheka sana , Nyie chadema mnachekeshaga kweli, eti kuchukua nchi 2035, duh, kivipi sasa,
  3. M

    Kwa hili La BoT, Usalama wa Taifa Ni Makini

    Kudos Jpm tutakujuza mini ukituruhusu
  4. M

    Mvujisha siri za CHADEMA ni Marehemu?

    Mbona anajulikana huyo, ni MBATIA
  5. M

    Rais Magufuli afanya ziara Benki Kuu, aongea na uongozi

    Tunaomba sisi wananchi wa kawaida tupewe direct link na majaliwa na rais mwenyewe, ILI tumtajie wezi walionona , hao hapo ni vipanya tu
  6. M

    Rais Magufuli afanya ziara Benki Kuu, aongea na uongozi

    Huge ni rais wa watu makini, wanaomchukia ni wale ambao either wametumwa kufanya hiyo na INVISIBLE HAND, WAO, au ni wachawi , au ni profound mental disturbed, au ni wezi ambao baadhi wametumbuliwa au wamebanwa sehemu, NONSENSICAL
  7. M

    Tujifunze upendo wa kweli kwa Magufuli na Shein

    Kampa kampa kampa tena
  8. M

    Wafanyakazi 597 wa NIDA wafutwa kazi. Waliofutwa wadai hawakulipwa mshahara kwa miezi 3

    Ila matusi gene mliozoea huko kids Msijee nayo, hasa vidada vya Nida vina matusi sana, fool
  9. M

    Wafanyakazi 597 wa NIDA wafutwa kazi. Waliofutwa wadai hawakulipwa mshahara kwa miezi 3

    Walipwe kwa walichofanya, per kitambulisho@500mia tano kila kitambulisho, wingi wa vitambulisho ulivyotengeneza ukizidisha Mara mia tano ndo hela anayopaswa kulipwa mtu, other wise karibu mtaani mywe banana
  10. M

    Kwanini Republican establishment wanamchukia sana Donald Trump?

    AMERICA is not a garden where any body can decide what to plant, it has its own international policies that governs who and how should the govt admnstration be for the benefit of the whole globe. TRUMP is insane, has his schizophrenic syndrome which drives him to talk , do , decide , and resolve...
  11. M

    CHADEMA tendeni haki, nafasi ya Katibu Mkuu mpeni Huyu...

    Nilikuwa namuona kipindi cha uchaguzi akiwa msemaji mkuu wa chadema, alikuwa anafanya vizuri tu, MBATIA,
  12. M

    CHADEMA tendeni haki, nafasi ya Katibu Mkuu mpeni Huyu...

    Mbatia anaweza, jaribuni
  13. M

    Laki tano tu unaweza badilisha historia

    Mimi niliwahi kulima mihogo ya KAEMP ina soko sana huko UGANDA, nililima miche elfu tatu, nlipo vuna, nikapata karo nikaja hapa Dar nikajiunga na chuo cha ualimu STMARYS nimemaliza nasubiri post, kazi ya kilimo hiyo. Big up Massanja
Back
Top Bottom