Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Kwa kuwa mpaka sasa hakuna dalili za kumpata Katibu Mkuu Huko CDM, ebu basi mfikirieni Huyu bwana aliyejitolea kuwa Afisa habari wenu wakati wa Kampeni mpaka akawatosa wanawe na kusalimika peke yake. Huyu anafaa... Mfikirieni tafadhali.