kuwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 817
- 429
Siasa unaijua au unaisikia ? Tuliosoma political science tunajua kinachofanyika, NARUDIA NA NITARUDIA TENA KUWA jina la utani ukilikataa ni la kwako Hilo, wao wanaenda mnawafuata, mnawazuia na kuwaweka ndani, sasa ona kinachotokea, ni media coverage, TV, radio na magazeti. Wanahitaji nini tena, KUMBE wangeachwa aliyeko Mtwara, Kilimanjaro na Tz kwa jumla asingehaika nao, BELIEVE IT OR NOT POLICE wanawapa advertising ya nguvu mbaya bila wao kujua na km kuna amri huyo ANAE itoa hajui athari zake. Nguvu za opposition parties zinaogezeka kwa kasi ya ajabu tusi jidanganye hata kidogo kuwa upinzani utakufa. Leo hii bunge limesahaulika gafla, why? Jibu ni moja tu, usidharau mwiba mguu utaota tende, tchao.Mbowe aache upuuzi abadili aina ya siasa za upinzani hapa nchini.
Siasa za kiki hazitusaidii kama Taifa.
Akubali amepwaya, siasa za huruma na kusumbuana na Polisi zilishapitwa na wakati.
Watanzania tunahitahiji hoja za kitaifa sio kuzurura vijiweni ilimradi kuhalalisha matumizi ya ruzuku ya Chama.