Buhongwa ni wapi vile???
Kama sikosei ni kanda ya ziwa hivi kuleeee mwanza waliko wasukuma.........mkuuu pole sana na pia uko sawa maana haya mambo yanawenyewe na wenyewe wanafanya zaidi ya ilo na hakuna chemical wala uncle ake chemical ni naturaaaaal tu kaka pole, karibu kwa wadigoo wazee wa...
Hujasikia wakijitetea coz hienda hujataka kutefa masikio lakini pia huenda hawahitaji kujitetea coz wana standing valid proofs muda ukifija watazitoa
Leseni ni ya uchimbaji na sio umiliki wa ardhi ni sawa lakini hata dhahabu inayopatikana ni sehemu ya ardhi pia ila haijazuiliwa na inakua...
It needs a gut to stay unmuted on such stuffs an i really strong gut and if we dont have strong one, utakua shahidi on how thing will turn on us...........and it may not be on acacia possibly kuna mtanzania ndo anachengesha data na ku compromise acacia pengine acacia ni wezi,so lets not be one sided
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.