Pata viatu vya mtumba grade one.

Pata viatu vya mtumba grade one.

a52eae337344910c772be2086103c2a3.jpg
 
Watu muwe makini hapa kupigwa nje nje. Maanake haiwezekani mtu atangaze biashara ya viatu kwa kutumia picha ambazo sio zake, maanake hizo products hana Sasa ukimtumia hela kinachofatia nn? Anaetaka kuhakikisha account yetu ya instagram bigdeal_mtumba_shoes angalia viatu vilivyopigwa picha hasa hasa kwny hyo computer na vilivyowekwa mdau humu.
 
Watu muwe makini hapa kupigwa nje nje. Maanake haiwezekani mtu atangaze biashara ya viatu kwa kutumia picha ambazo sio zake, maanake hizo products hana Sasa ukimtumia hela kinachofatia nn? Anaetaka kuhakikisha account yetu ya instagram bigdeal_mtumba_shoes angalia viatu vilivyopigwa picha hasa hasa kwny hyo computer na vilivyowekwa mdau humu.
Umeongea point mkuu
 
huyu ni tapeli manake haelekezi huko pasiansi yupo maeneo gani wala duka linaitwaje anakua na kiuoga flani. hata bei zake kwa kiatu cha kiume hazina uhalisia. we need to proceed carefully
 
Loooh anataka atapel watu mchana kuweni makini looh jaman matapel wengine khaaa
 
huyu ni tapeli manake haelekezi huko pasiansi yupo maeneo gani wala duka linaitwaje anakua na kiuoga flani. hata bei zake kwa kiatu cha kiume hazina uhalisia. we need to proceed carefully

Muongo huyo maanake viatu vyote alivyopost 90% viko ofisini kwetu Na sisi tupo Dar. Angalia picha nilizopost za account ya Instagram ndio utanielewa. Watu wawe makini watakuja kupigwa
 
Muongo huyo maanake viatu vyote alivyopost 90% viko ofisini kwetu Na sisi tupo Dar. Angalia picha nilizopost za account ya Instagram ndio utanielewa. Watu wawe makini watakuja kupigwa
Unatumia jina gani Insta mkuu
 
Viatu ni vizuri ndio...jee ni kweli nikikutumia pesa utanitumia mzigo wangu?
au what is your terms of business?
 
Muongo huyo maanake viatu vyote alivyopost 90% viko ofisini kwetu Na sisi tupo Dar. Angalia picha nilizopost za account ya Instagram ndio utanielewa. Watu wawe makini watakuja kupigwa
....acha kulala sasa.,andaa tangazo post wewe,ushapata mileage;
..watu wamezielewa kazi!
 
e3c99d3f4877ec2259503ff165730ed1.jpg

Elfu 28,000/=
80a3412cfe0968d291fafc07a03049af.jpg

Elfu 28,000/=
9cf6e6b0a060635f4cc543512a71c534.jpg

22,000/=
eacf38d7c6702c0877a3509b7417f2af.jpg
376fa8498fe8cd155751902bdf3c8f86.jpg

Elfu 25,000/=
d658125f96002311e5dc64736ebc76bf.jpg

Elfu 30,000/=
26c911b3e278647a89a88c7f247f261b.jpg

Elfu 30,000/=
c44d41db92091a79899404eda3ca32b4.jpg

Size 42.Elfu 30,000/=
af046e34bad60dbeb810187de38aed74.jpg

Ngozi size 44...35,000/=
8885280d2fb3272e7035f83d7122680b.jpg

Karibuni sana.
Size 44.Bei 35,000/=
7525c2eed1944b4a7c5857f2f1c4c43c.jpg

Size 44 .Bei 35,000/=
7e9eaa9b62cb57fc94bcaff5dda31c38.jpg

Size 43.Bei 35,000/=
Napatikana Mwanza na ninatuma mzigo mikoa yote.
Contact. 0789678900
Hahaha.....hali ngumu aiseee!!
Unataka kutuliza mchana kweupe?!
 
Mkuu Mamylicious mbona thread yako imekaa kitapeli? Mbona picha unazotumia za viatu ni vya kwetu? Na hizo picha hapo ni ofisini kwangu big deal stationary? Yani utoe picha kutoka account ya Instagram ya bigdeal_mtumba_shoes halafu unasema viatu unavyo mwanza.
Ningependa kukusaidia Jambo moja inawezekana unania nzuri na mipango mizuri kibiashara Ila fahamu dunia sasa hv ni ndogo watu wote tupo kwny mitandao. Sasa kwa mfano mtu akitaka viatu ulivyopost utakuwa navyo? Na ulichonifurahisha zaidi mpaka jina la mtumba grade A umedesa. Hahahahaha jaribu kuwa mbunifu kidogo Na ufanye biashara. Sasa hivi tumeleta mzigo wa socks Sasa sijui utadesa Na hiyo ila mind you Hizi socks sio mtumba.
Hahhaaa raha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom