Maskio yangu yanapiga kelele

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,526
1,409
Nilikuwa natumia doze ya tb,katikati ya ugonjwa maskio yangu yakawa yanatoa sauti (psssssss!) Had Leo nimemaliza doze bado tu.sababu ni nini?
 
Nilikuwa natumia doze ya tb,katikati ya ugonjwa maskio yangu yakawa yanatoa sauti (psssssss!) Had Leo nimemaliza doze bado tu.sababu ni nini?
Mkuu nitafute nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu.
 
Wenye presha wana tatizo hilo kumbe?
Sio wote wenye pressure ni baadhi yao tu ila pia kama unafanya kazi sehemu yenye kelele nyingi kama kuvaa earphones au vitu vinavyokwaruza kama mabati/chuma n.k au vitu vinavyogongwa kama mabati au chuma,ukikaa muda mrefu kwenye hayo mazingira unaweza kupata hiyo shida,kingine ni baadhi ya madawa pia yanaweza kusababisha hiyo hali.
 
Mkuu hili tatizo linaitwa Tinnitus. Linatokana na sababu tofauti tofauti ikiwemo reaction ya dawa na hata kuugua kwa muda mrefu baadhi ya magonjwa. Vyanzo ni vingi. Ushauri wangu: wahi ukawaone madaktari bingwa wa ENT ufanyiwe uchunguzi zaidi na upate matibabu zaidi.

Kumbuka kuwa matibabu ya Tinnitus yanategemea chanzo na hatua tatizo lilipofikia. Mara nyingi kama tatizo ni kubwa hakuna tiba kamili but mgonjwa husaidiwa kuishi comfortable kwa kumpunguzia mgonjwa kelele na kumuongezea uwezo wa kusikia.
 
Back
Top Bottom