WAZO zuri sana .
Unamtaji mkubwa nenda kiwandani
Kama Bado unajitafuta
Usisahau kuwekeza na ishu ya kumsafirishia mteja.
Nachojua itakuvuta uingize na bidhaa zingine.
Kila la kheri mkuu
Nadhani mwenye maada anatambua vizuri nn anasema na kumaanisha.
Hii hali inawakumba wengi na hawawezi kusema .
Ila watu wasiopenda kuzaa au kuwa na familia ni wengi .
Kina siku nilimcheck video ya mdada wa Kenya alikuwa anaweka shape fake ya kalio .
Alikiri hapendi kuwa na mtoto katika maisha...
Habari za leo.
Katika maisha ya biashara Kuna Muda lazima ufanye mabadiliko .
Sasa nimekuwa na mawazo hasa mabadiliko nayotaka kuyafanya kwenye biashara yangu.
Ok Mimi ni muuzaji wa vifaa vya umeme vya majumbani ,taa za Urembo na sasa naingia umeme wa viwandani.
Hapo awali nilikuwa nauza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.