hali ni mbaya duniani kote mkuuNajiuliza tu kwa mikoa mingine huko
Hali ipoje ndugu zangu.
Sisi huku tunaangalia tu madukani .
Tunajihoji ni mkoa wetu tu au na huko hali ipoje.
Dunia kote wapi wewe umeenda kote. Shida watu weusi wameona fursa kwao ni kilimo na biashara za uchuuzi viwanda na madini mmewaachia wageni?hali ni mbaya duniani kote mkuu
Kwa hiyo una taarifa za mkoa mzima ?Najiuliza tu kwa mikoa mingine huko
Hali ipoje ndugu zangu.
Sisi huku tunaangalia tu madukani .
Tunajihoji ni mkoa wetu tu au na huko hali ipoje.