Recent content by mikagati

  1. mikagati

    Jipu TANESCO Pwani Mkuranga

    Kuna kaukwel hapo.
  2. mikagati

    Watumishi hewa: Kompyuta yenye rekodi yaibwa, wakopa benki kwa majina hewa

    Duh!Mkuranga napo idara ya elimu kumbe kuna kajipu?@RETINA
  3. mikagati

    PICHA: Matapeli wa kuuza viwanja, mashamba Bagamoyo watiwa mbaroni

    Ahsante kwa taarifa,sisi wenyewe chupu chupu tupigwe kidomole
  4. mikagati

    Njia ya uhakika ya kuongeza kipato chako ambayo hujawahi kuitumia

    Thank you bro,kuna kitu kikubwa sana nimejifunza katika hii post yako,na ningependa kujifunza zaidi ila kikwazo ni nguvu ya kupata hiyo pesa ya semina,ila barikiwa sana kwa kaz yako
  5. mikagati

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    mbona wametema jaman.Au www.jkt.go.tz ni fake web?
  6. mikagati

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Jaman hz habar za kwel?
  7. mikagati

    Faida za kuvaa soksi wakati wa kufanya mapenzi

    Khaa!mbona mnawaonea wanaume wa dar jaman?
  8. mikagati

    Sukari sasa ni shilingi 2,400 kwa kilo huku Dodoma

    Kwa dodoma ipae tu hata elfu kumi kwa kilo sawa tu,CCM mbele kwa mbelee
  9. mikagati

    Ushauri: Long Distance marriage

    Mimi imenitokea puani,mama yeyoo kanisaliti kwa kweli.
  10. mikagati

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Mkuranga Pwani Secondary,nije Morogoro Manispaa
  11. mikagati

    Anayejua habari za JKT

    Mimi nadhani tuwe na subira,muda ukifika tutapambana,hapa kila mtu ana chanzo chake cha habari,ambacho kwa namna moja au nyingine hatuna uhakika na hizo source zao za information.
  12. mikagati

    Yawakutayo waganga wa kienyeji

    Mimi nataka niwape adhabu wanaotoka na nke wangu
Back
Top Bottom