Ushauri: Long Distance marriage

overblessing

Member
Apr 2, 2016
18
40
Habari wakuu,

Mimi ni mdada natamani kuingia katika ndoa hivi karibuni,nina mtu wangu lakini hatujatambulishana bado kwasababu bado natafakari niamue kipi. Kinachonisumbua ni kuwa tunakaa mikoa tofauti yeye anafanya kazi huko Mwanza na mimi nipo Dodoma.

Kwa namna kazi yake ilivyo hawezi kuhama na kuja nilipo mimi na mimi pia ni hivyo hivyo. Sasa nikitafakari hali hii nashindwa kufanya maamuzi, kiukweli napenda sana na I always pray nipate ndoa ambayo tutakaa pamoja sehemu moja sio hizo za mbalimbali, pia nikifikiria na changamoto ya uaminifu katika hizi ndoa za siku hizi napata hofu na vile wanaume wenyewe ndio shetani huwa anawapitia sana! Akili yangu inakosa utulivu kabisa.

Nikikubali kuolewa na huyu mwanume maana yake tutaishi mbalimbali sijui kwa muda gani, kuanzia ndoa ikiwa changa hadi muda usiojulikana.

Naomba ushauri ndugu zangu ndani ya nafsi yangu nikifikiria kukaa mbalimbali nakosa amani kabisa!
 
Mueleze Kila Kitu Kilicho Ndan Ya Moyo Wako...Kisha Mtafute Muafaka Usikae Kimya Wakat Mwenzio Anakuhesabia Kma MTU Wake, Usije Chukua Maamuz Kimya Kimya Akaja Hapa Analia Lia!!
 
Hapo hakuna namna dada yangu, unajua wanaume hata ukikaa ofisi nae ofisi moja bado akitaka kukupiga chenga anakupiga tuu. Hali kadhalika wadada pia anaweza akatoka mchana na mwingine na jioni mpo nae kitanda kimoja. Cha msingi cha kuzingatia ni uaminifu tuu ambao siku za karibuni umekuwa ukitiliwa shaka lakini hakuna namna nyingine.
Unaweza ukaolewa mkiwa mji mmoja lakini mwajiri akamuhamisha mwezi ujao, sasa hapo utavunja ndoa eti kisa yeye yuko mbali. Ni kujikabidhi kwa Mungu na kujipa moyo wala usifikirie kwamba atatoka nje ya ndoa.
 
Hakuna lisilowezekana dada ila ni lazima Kati yako au huyo mtu wako akubali kula gharama za kuiacha hiyo kazi isiyohamishika maana kiukweli kabisa Dunia imechafuka sana coz watu hawaaminiani tena ila kama mnapendana kweli na mna hofu ya Mungu basi lazima mmoja wenu akubali kujitoa muhanga.
 
its a norm kwetu waafrika kwamba baada ya ndoa ni lazima mke na mume wakae nyumba moja...moving italeta matatizo mapema sanaaaa,kwanza utaanza is his job better than mine na kama utakuwa hujapata kazi huko mwanza ndio shida kabisaaa, cause unahela yako ndio, what happens pale umetumia wee,hela inaanza kuisha, kazi hujapata so you now have to ask for money kila mara...sacrifices hufanyika sana, mi nakushauri kuanza kutafuta kazi au mradi wa kufanya mapemaaa huko Mwanza kabla hujaamua kuolewa. Tena pale uanze kufanyiwa visa vya maneno baada ya kuomba hela heheeheee...alafu watu wanasemaga money sio ishu, love is what matters...nyoooooooo
 
1459619751052.jpg
dash, long distance marriage...
 
Back
Top Bottom