Niwaombeni viongozi wangu mnaotuongoza
Isaidieni sana RFA isife imefanya mambo makubwa katika nchi yetu
Mimi ni mchagga ila imesaidia sana maendeleo yawatu
Mh Raisi Magufuli nakuomba Baba wa Tanzania iokoe hii RFA viongozi mguswe na hili
GTV wangerudi wale jamaa DSTV wangeenda sawa sawa
Pia wakipatikana ESPN nao wazuri sana
Ila kwa kweli DSTV tena kwa explora Mimi naangalia extra kwa kwa kwa kutumia DStv explora decoder mbili haisumbii kbsa wala hautajutia kbsa kbsa
Utaratibu wakukusanya sadaka niwakawaida nawanaokusanya sadaka niwaumini wakawaida
Kwahiyo kitendo alichokifanya Mh Raisi nichakawaida sana sana
Tena kwa nafasi yake nikitu kikubwa sana kumfanyia Mwenyenzi Mungu Mkuu
Mimi mkatoliki nileyesoma uchaghani useminarini nijambo zuri sana
Jasusi sio komando
Na komandoo sio jasusi
Jasusi anatoa in formation
Then komandoo,kikundi mahalumu kinakwenda kumaliza kazi
Fuatilia waliomuua Osama
Walipewa taarifa na CIA ndipo team seal six makomondoo wakaingia mzigoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.