Tanzania wasomi wanapoteza muda na MB nyingi mno kwa mambo yasiyoingiza pesa

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,551
Tanzania tuna graduates na wasomi wengi wa hovyo sana sijapata kuona.

Mtu anakomaa mtandaoni you tube, insta , tweeter, Badoo , Facebook, WhatsApp , SayHi na mengineyo kuangalia mambo ya hovyo yasiyohusiana na fursa au namna ya kupata pesa.

Watz wanadeal na vijembe , majungu , fitina , mauchawi , kusengenyana , kutukana nana , siasa uchwara plus upuuzi mwingine kama hii.

Badala mtu akili yake igote ni wapi anaweza kupata hata mawazo ya fursa , wapi...

So many social media groups but with stupidity inside.
 
Tanzania tuna graduates na wasomi wengi wa hovyo sana sijapata kuona.
Mtu anakomaa mtandaoni you tube, insta , tweeter, Badoo , Facebook, WhatsApp , SayHi na mengineyo kuangalia mambo ya hovyo yasiyohusiana na fursa au namna ya kupata pesa.
Watz wanadeal na vijembe , majungu , fitina , mauchawi , kusengenyana , kutukana nana , siasa uchwara plus upuuzi mwingine kama hii.
Badala mtu akili yake igote ni wapi anaweza kupata hata mawazo ya fursa , wapi...
So many social media groups but with stupidity inside.
Wewe una kiasi gani kwenye akaunti yako ?
 
Tanzania tuna graduates na wasomi wengi wa hovyo sana sijapata kuona.

Mtu anakomaa mtandaoni you tube, insta , tweeter, Badoo , Facebook, WhatsApp , SayHi na mengineyo kuangalia mambo ya hovyo yasiyohusiana na fursa au namna ya kupata pesa.

Watz wanadeal na vijembe , majungu , fitina , mauchawi , kusengenyana , kutukana nana , siasa uchwara plus upuuzi mwingine kama hii.

Badala mtu akili yake igote ni wapi anaweza kupata hata mawazo ya fursa , wapi...

So many social media groups but with stupidity inside.
Umesahau na baa kila siku.
 
Na wanao tumia freebasics unawaongeleaje


Tanzania tuna graduates na wasomi wengi wa hovyo sana sijapata kuona.
Mtu anakomaa mtandaoni you tube, insta , tweeter, Badoo , Facebook, WhatsApp , SayHi na mengineyo kuangalia mambo ya hovyo yasiyohusiana na fursa au namna ya kupata pesa.
Watz wanadeal na vijembe , majungu , fitina , mauchawi , kusengenyana , kutukana nana , siasa uchwara plus upuuzi mwingine kama hii.
Badala mtu akili yake igote ni wapi anaweza kupata hata mawazo ya fursa , wapi...
So many social media groups but with stupidity inside.
 
sasa kuna shida wapi MTU kupoteza pesa na muda wake,kwani wale marehemu ambao toka wazikwe hawajawahi hata kutoka kwenda kuoga unawazidi nini
 
Wewe ndiye mpuuzi wa kwanza, kama social media ni kupoteza muda wewe humu umefata nini? Ama kweli akili za jiwe siyo zake peke yake kama nilivyofikiri hapo awali, kumbe kuna wenzie kama wewe mleta mada
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom