hahahahah umefulia kweli,CDM ndio nzuri inayomwagia watu tindikali na kukodisha vikosi vya kuleta vurugu kutoka nchi za jiran!!ktk uongoz wenu watu wakiandamana si ndo mtawaua wote
walidhan ccm haifai walipofika CDM wakaona ndo utumbo kabisa nahsi sasa wanashukuru kwa kuvuliwa uana chama coz pengine ingekuwa ngumu kwa wao kufanya hivyo kwa aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.