Hawa AIRTEL vipi

Hawa AIRTEL vipi

Acheni kuwa waongo, mimi nimeweka nimeweka mb20 jana saa 10jioni, mpaka sasa ninayo na zimebaki 12mb, usiku saa 6 kama umejiunga na bundle kufungua internet ni bure na bundle hailiwi, nimegungua hili leo saa sita usiku. Pia mb400 za 'internet' nazo hazisumbui.

Tatizo ukijiunga kwa kutumia mobile then ukafungua internet kwa bluetooth wireless or modem kwenye comp bundle zinaliwa haraka coz mobile page zina size ndogo kuliko PC pages! Ni kuwa makini.

Sometime unakuta bundle inaliwa kwa haraka kumbe kuna program inafanya automatic update kila ukifungua internet mf window media home, real player na antivirus progr huwa zinapenda tabia hiyo. Check settings za kila program ulizönazo
 
tatizo ni kwamba 400mb ni kwa ajili ya smart phone lakini watu mnataka tumia kwenye laptop,sometimes katika laptop yako unakua una aoutstart application yaan ukiwasha tu nazo zinaanza ku run...hizi application ndizo zinazokuchakachua sio airtel,hivyo we kwa akili yako ndefu umalize bundle yako leo utake kujiunga uzuiliwe aumbiwe usubiri hadi mwisho wa mwezi...kwa hiyo fedha kampuni haiitaki ama...ningekushauri kama unataka ku force kutumia 400MB kifurushi kwenye laptop yako basi jaribu ku download operamin au browser yoyote ku reduce file size au kila baada ya kumaliza matumizi i disconnect modem yako pia hakikisha kwenye laptop yako hakuna any auto start application
 
mie mbona natumia mwezi wa pili huu na thubutu kusema kuwa kwa mitandao yote nilotumia kujiunga na net airtel walo fair na sijawahi tapeliwa 400mb inaisha kihalali kabisa tena mara nyingi narainganisha figures za dashboard na iyo msg ya salio ya airtel na kuona kuwa iko sawa kabisa both upload and download speed cwezi kata kuwa hv vitu havitokea lakini tunaongea in general airtel wako fair sana na pia ulaj wake wa hzo mb ni kidogo sana.
 
tatizo ni kwamba 400mb ni kwa ajili ya smart phone lakini watu mnataka tumia kwenye laptop,sometimes katika laptop yako unakua una aoutstart application yaan ukiwasha tu nazo zinaanza ku run...hizi application ndizo zinazokuchakachua sio airtel,hivyo we kwa akili yako ndefu umalize bundle yako leo utake kujiunga uzuiliwe aumbiwe usubiri hadi mwisho wa mwezi...kwa hiyo fedha kampuni haiitaki ama...ningekushauri kama unataka ku force kutumia 400MB kifurushi kwenye laptop yako basi jaribu ku download operamin au browser yoyote ku reduce file size au kila baada ya kumaliza matumizi i disconnect modem yako pia hakikisha kwenye laptop yako hakuna any auto start application
<br />
<br />
kweli kabisa kaka, true! Ndio hata mimi ninavyojua hilo ndio tatizo lao. Airtel internet ni nzuri na haina matatizo yoyote!
 
Duh! huu ni utapeli ndio maana wanawafungia mpaka mwezi uishe. Yaani mb400 za smart4ne zinaforcewa kwenye PC! Kudadadeckh, nunueni bundle za moderm acheni ubahili.
 
Airtel ni wezi sana, hata kwenye msg n wezi tu, ukituma msg 5 wanakupa msg 100, lakini cha ajabu ukishatuma hizo msg 5, na wakakupa hizo msg 100 wanaendelea kukukata mpaka unakoma wakati wanakuwa wameshakuzawadia hizo msg 100, ukiwapigia ndo wanafanya kushituka! wanaboa, wanakera. nawachukia airtel mpaka mwisho! ukija kwenye internet ni zaidi ya majambazi tena wa kutumia siraha. walikuja na mbwembwe za kupunguza gharama! kumbe zilikuwa za kuongeza gharama! airtel majambazi tena wa kutupwa!
 
Sina uhakika sana ila nadhani ku upload na ku download garama ni moja kwahiyo nadhan hizo mb zako zimetumika wakati una attach hayo ma file yako.japo hujatuambia ukuwa wa hayo mafaili uliyokuwa una attach.
 
Achanane na hao jamaa, si mnakumbuka walivyoinyonga TRL, njooni huku vodacom. Buku kumi kwa siku saba. download/upload kila kitu mchana kutwa na usiku kucha na pesa haiishi na huaambiwi jiunge tena au lipia tena. Raha mustarehe
 
mkuu hapo utakuwa haukureply confirmation 'yes' kukubali kujiunga ila 400MB ya Airtel inafaa kwa matumizi madogo madogo kama browsing facebook, jamiiforums nk. kwa mda mrefu, lakini kwa matumizi ya kudownload haifai itaisha mapema..speed yao ni nzuri throughout the package lifetime..Speed ya Bundle za Tigo 'light' kwa Arusha ni mbaya sana yaani hata kwenye simu kufungua page inachukua dakika moja nzima sijaelewa sababu, si ishu, package zao zingine ni expensive. kwa matumizi ya kudownload mafile makubwa, then package za Bomba7 na Bomba30 za vodacom ni afadhali japokuwa speed inakuwa kubwa pale mwanzoni unapojiunga na utakapoDownload zaidi ya 1.5GB kwa siku wanashusha connection bandwith, speed inapungua lakini sio mbaya sana ni afadhali kidogo kwakuwa ni Unlimited..zantel hawajapangilia package zao vizuri haiwezekani 250mb ni 6,000/=, 8,000/= na 10,000/= wakati airtel 400mb 2,500/=..kwa ttcl, sasatel sifahamu..
 
mkuu hapo utakuwa haukureply confirmation '<b>yes</b>' kukubali kujiunga ila 400MB ya Airtel inafaa kwa matumizi madogo madogo kama browsing facebook, jamiiforums nk. kwa mda mrefu, lakini kwa matumizi ya kudownload haifai itaisha mapema..speed yao ni nzuri throughout the package lifetime..Speed ya Bundle za Tigo 'light' kwa Arusha ni mbaya sana yaani hata kwenye simu kufungua page inachukua dakika moja nzima sijaelewa sababu, si ishu, package zao zingine ni expensive. kwa matumizi ya kudownload mafile makubwa, then package za Bomba7 na Bomba30 za vodacom ni afadhali japokuwa speed inakuwa kubwa pale mwanzoni unapojiunga na utakapoDownload zaidi ya 1.5GB kwa siku wanashusha connection bandwith, speed inapungua lakini sio mbaya sana ni afadhali kidogo kwakuwa ni <b>Unlimited</b>..zantel hawajapangilia package zao vizuri haiwezekani 250mb ni 6,000/=, 8,000/= na 10,000/= wakati airtel 400mb 2,500/=..kwa ttcl, sasatel sifahamu..
<br />
<br />
mb40
za 2500 ni kwaajili ya handset internet. Hizo za zantel ni kwa PC! Tena night **** mb za bure airtel ukiweka vocha unapewa mb200 free. Airtel ni noma, mi nashangaa wakuu wanailalamikia.
 
mb40za 2500 ni kwaajili ya handset internet. Hizo za zantel ni kwa PC! Tena night **** mb za bure airtel ukiweka vocha unapewa mb200 free. Airtel ni noma, mi nashangaa wakuu wanailalamikia.
Mkuu sio 40MB bali ni 400MB na hawajasema ni za internet ya simu pekeyake bali hata kwenye modem unatumia, nikijibana hiyo 400mb inakaa wiki nanusu kubrowse kwenye computer,,,,
 
Back
Top Bottom