<br />hahahahah umefulia kweli,CDM ndio nzuri inayomwagia watu tindikali na kukodisha vikosi vya kuleta vurugu kutoka nchi za jiran!!ktk uongoz wenu watu wakiandamana si ndo mtawaua wote
Mwita25 huwezi kuelewa maana wewe ni uzao wa majoka yenye magamba!!!!!!!! Huamini kuwa CCM ndilo chimbuko la uozo wote unaitafuna Tanzania. Basi wewe ni kilaza wa mwisho kama huwezi kuona kuwa Richmond pamoja na IPTL, Songas ndio mwanzo wa kufilisi nchi kwa umeme wa majenerator. Wala wana magamba hawana tena njia nyingine ya kulikwamua taifa letu na janga hili la umeme bali kutumia majenerator !!!!!!!!!Sasa hapo kuna siri yoyote uliyotoa au ni mwendelezo wa makelele ya Slaa anapokuwa jukwaani? We Mwanakijiji maandiko yako mengi huwa hayana mashiko kabisa na yanabeba maelezo marefu yanayojirudiarudia. Unashindwa hata na Kubenea kwa kujenga hoja zenye mvuto lakini kwa kutumia maneno machache.
<br />Sasa hapo kuna siri yoyote uliyotoa au ni mwendelezo wa makelele ya Slaa anapokuwa jukwaani? We Mwanakijiji maandiko yako mengi huwa hayana mashiko kabisa na yanabeba maelezo marefu yanayojirudiarudia. Unashindwa hata na Kubenea kwa kujenga hoja zenye mvuto lakini kwa kutumia maneno machache.
<br />Sasa hapo kuna siri yoyote uliyotoa au ni mwendelezo wa makelele ya Slaa anapokuwa jukwaani? We Mwanakijiji maandiko yako mengi huwa hayana mashiko kabisa na yanabeba maelezo marefu yanayojirudiarudia. Unashindwa hata na Kubenea kwa kujenga hoja zenye mvuto lakini kwa kutumia maneno machache.