Recent content by Michael Kiswaga

  1. M

    Gazeti la Tanzania Daima laadimika mitaani

    Nalo siku hizi linaandika UDAKU Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  2. M

    Zitto amkamata mtu aliyejidai kumfatilia nyendo zake na kuandika ripoti kuhusu yeye

    Nataka niwaambie kwaautaalamu kidogo niliokuwa nao kwa maswala ya Report za kijasus. Kwanza haziandikwi vile kama zilivyo andikwa na hao. Wanaojiita majasusi wa CHDM. Pili mashine ya Udukuzi wa mtandao au CM tanzania kwa mara yakwanza imeingia Tarehe 23/7. 2011 na mmiliki wake mkubwa ni TISS...
  3. M

    Wazee wa Fursa Clouds. Fm. Wamefulia kama Miss Tanzania .

    Daah kiukweli nilitegemea mwaka huu itakuwa babu kubwa tamasha la Fiesta kuwa angalau tutamuona P. Didy au tuamuona Rihana vile. Ila kiukweli hawa Clouds tamasha lao mwaka huu wamechemka. Kuleta watu wenye nyimbo 3 au nne vile ninazo zijua. Kutoka kwa Ricky Ross had kwa DaviDo. Nika...
  4. M

    Mwaliko kutoka kwa familia ya mzee TFF

    Familia ya TFF inakutaarifu Bwana/Bib/Prof/Dr/Mh/Mr./Mrs.......... tarehe 20-10-2013 majira ya saa 16:00 jioni maeneo ya Viwanja vya TAIFA kutakuwa na harusi ya Binti yao mpendwa YANGA anaeolewa na bwana harusi Kidume cha mbegu. ** SIMBA FC ** Ukiwa kama ndugu, jamaa na rafiki wa karibu...
  5. M

    Mwaliko kutoka familia ya Mzee TFF

    Familia ya TFF inakutaarifu Bwana/Bib/Prof/Dr/Mh/Mr./Mrs.......... tarehe 20-10-2013 majira ya saa 16:00 jioni maeneo ya Viwanja vya TAIFA kutakuwa na harusi ya Binti yao mpendwa YANGA anaeolewa na bwana harusi Kidume cha mbegu. ** SIMBA FC ** Ukiwa kama ndugu, jamaa na rafiki wa karibu...
  6. M

    TBC kutorusha hewani taarifa za Ufoo

    Uongo mwingine bwana. Habari ya ufoo Saro iliruka TBC1 siku ya tukio na mwandishi nkumbuka alikuwa Jane john vile. Na kwenye Jambo tanzania iliruka siku ya pili yake. Acheni chuki Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  7. M

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    Alichokifanya. Ni kizuri tuu na siku nifa nitambebea jama. Mushi pombe na chips na nyama choma. Yalishawah kunikuta kama haya kiukwel. Unamhudumia mtu we yeye pamoja na ndugu zake thn analeta ujinga. Halaffu wanateteana na mama mkwe. Niliishia kufungwa Polis na kazi kidogo nipoteze. Kwa bahata...
  8. M

    Naitafuta FURAHA niipate wapi mie Jamani.

    KAana. Watu wanaojua kuchekesha toka jichanganye na. Watu Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  9. M

    Ikulu ya Tanzania ihamishiwe USA mpaka 2015 kuokoa gharama

    Yan mtoa mada umekuwa mhafidhina sana yan hata huelewii kinachoendelea. Ziara za mkuu wa kaya zimeisaidia sana Tanzania tuache uongo na chuki tumnyonge lakini haki tumpe. Mfano hii ambayo anarudi leo Ni mkutano na shughuli za umoja wa mataifa marais wote wapo huko. Alialikwa Canada...
  10. M

    MEMBE anahusika katika kuyafungia MWANANCHi na MTANZANIA.

    Tanzania wki hii imekuwa na mshituko kutokana na magazeti yanayoaminika yanafuata maadili vizuri sana ya taaluma ya Habari ambayo ni Mwananchi na Mtanzania. Mtu aliyehusika kuyafungia magazeti haya ni Mwambene Isongole ambaye nikibaraka mkubwa wa Bernad Membe. Siku ya alhamis kwenye...
  11. M

    Kuku wa Nyama Mayai yasiyokuwa na Jogoo

    Duuh naskia inamadhara ila sina hakika Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  12. M

    Hivi nikweli leo Tanzania imefunga Ubalozi wake Rwanda?

    Habar wana JF. Mchana huu nimepita hapa wizara ya Mambo nje na ushikiano wa Kima taifa. Nimekuta kuna hili likiongelewa ofc ya ofisa mmoja alikuwa anaongea na mwenzake. Nataka kujua kama kuna mtu yoyote anajua juu ya hili. Nilipoliskia kwa haraka lilinitisha kidogo baada ya kuona jana...
  13. M

    Wema na Daimond. New muv now wamerudiana.

    Habaar za mjini hapa toka jana zinasema Wema sepetu na Bwana mdogo Daimond wamerudiana Rasmi na inasemekana wapo wote Kuala lumpa Malesia. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  14. M

    Kenya haina Jesh la kazi wala Vikosi vya kiusalama vya shuguli

    Naanza kuamini maneno ya Rais wa Uganda mzee Mseveni aliyowahi kuyasema kwamba Jeshi la Kenya ni la utaalamu yan mtu anaajiliwa kutokana na utaalamu wake na ni kazi kama kazi nyingine hazizingatii uzalendo wa mtu mmoja mmoja. Tukio linaloendelea Nairobi now ni uthibitisho kuwa Jeshi la Kenya na...
  15. M

    Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

    Ishu hii ngumu sana. Lakini kwa mujibu wa sheria kama zile malighaf hazihusian na madawa ya kulevya wapo huru hakuna kes ya kujibu. Lakin ishu ya kusema sijuw Nzowa alikwenda SA na nn SA ni nchi ya SADC sheria inaruhusu kubadilishana maswala ya wafungwa. Kushirikiana katika upelelezi...
Back
Top Bottom