TBC kutorusha hewani taarifa za Ufoo

TBC kutorusha hewani taarifa za Ufoo

ubaya wa TBC kama alivyowahi kusema zitto hawajiendeshi kibiashara wao mishahara yao inatoka kwenye kodi so watangaze habari nzuri au mbaya they dont care wawe watu wanafurahia kuangalia tv yao au hawafurahii they dont care kwani hawalipwi mishahara kutegemea matangazo na ili upatae matangazo inamaana channel yako iwe inapendwa hili ndio tatizo la tasisi za serikali.... wanalipwa kwa kodi zetu si kwa kuzalisha ndio maana taasis nyingi za serikali utendaji wao ni hafifu sana kam si zero!!!
 
ubaya wa TBC kama alivyowahi kusema zitto hawajiendeshi kibiashara wao mishahara yao inatoka kwenye kodi so watangaze habari nzuri au mbaya they dont care wawe watu wanafurahia kuangalia tv yao au hawafurahii they dont care kwani hawalipwi mishahara kutegemea matangazo na ili upatae matangazo inamaana channel yako iwe inapendwa hili ndio tatizo la tasisi za serikali.... wanalipwa kwa kodi zetu si kwa kuzalisha ndio maana taasis nyingi za serikali utendaji wao ni hafifu sana kam si zero!!!

Una maana wangetangaza hii ingeweza kuongeza matangazo????!!!
 
kuna matukio mengi tu ka ya Ufoo hayarushwi hii inshu ya kawaida tu isiwafanye mkasahau majukumu mengine.
 
Hili binafsi sijalifurahia kwani ni ni mpenzi wa TBC habari sijaona mpaka magazetini.habari kiundani nimezipata hapa JF!
Huo Sio uzalendo habari kwa Manufaa ya wananchii!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Pole kwa kuendelea kuangalia TBC, ila siku ukiacha hutorudi kuiangalia kamwe
 
Mushi ni mshikaji wao TBC!!! Take it from me. Wana hasira na Ufoo kabisa!!!! Yataibuka mengi mwaka huu na ngoja apate nafuu atoe maelezo ya kina ili afunguliwe kesi!!!! Tapeli huyu!!!!!! I wonder uchumba wa miaka 10 bila kuwa na kibali cha cheti cha ndoa, hakika ni lazima jamaa aligonga kisiki!!!! How dare unathubutu badilisha hati ya mali ya mtu hata kama umezaa naye!!! How dare!!!!?? Kweli nimeamini wanayosema kuhusu wapalestina!!! Atoke hospitali aje akane hapa!!! Na kwa taarifa tu ndugu wa Mushi watatota kila evidence hadi nyaraka za Mushi za malalamiko kuhusu huyu tapeli!!!!! Sisitizo, kuua au kuchukua sheria mkononi haitakiwi!!! Mushi hakutakiwa kuua bali alitakiwa afuate taratibu za kisheria kumaliza mgogoro wake na UFOO wa SARO.
 
Je hii kweli ni haki maana vituo vingine vimetangaza ila TELEVISION YA TAIFA imeona sio habari!!

This is not fair,
Kwa nini usingerusha hiyo habari wewe kwenye vyombo vyako vya habari unavyomiliki:shocked:?????
Au Kama vipi ukalipie ile huduma ya BANGO na itarushwa kupitia TBC.
 
Uongo mwingine bwana. Habari ya ufoo Saro iliruka TBC1 siku ya tukio na mwandishi nkumbuka alikuwa Jane john vile. Na kwenye Jambo tanzania iliruka siku ya pili yake. Acheni chuki

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Tukio la UFO ni tukio la kawaida sanaaaa! Matukio kibao kama hayo yanatokea, ITV wametangaza na kuonyesha au ulitaka kila station ionyeshe issue ya UFO?
 
mushi ni mshikaji wao tbc!!! Take it from me. Wana hasira na ufoo kabisa!!!! Yataibuka mengi mwaka huu na ngoja apate nafuu atoe maelezo ya kina ili afunguliwe kesi!!!! Tapeli huyu!!!!!! I wonder uchumba wa miaka 10 bila kuwa na kibali cha cheti cha ndoa, hakika ni lazima jamaa aligonga kisiki!!!! How dare unathubutu badilisha hati ya mali ya mtu hata kama umezaa naye!!! How dare!!!!?? Kweli nimeamini wanayosema kuhusu wapalestina!!! Atoke hospitali aje akane hapa!!! Na kwa taarifa tu ndugu wa mushi watatota kila evidence hadi nyaraka za mushi za malalamiko kuhusu huyu tapeli!!!!! Sisitizo, kuua au kuchukua sheria mkononi haitakiwi!!! Mushi hakutakiwa kuua bali alitakiwa afuate taratibu za kisheria kumaliza mgogoro wake na ufoo wa saro.
mpalestina mbele ya mali/pesa
 
bado uko kuzimu au usharudi duniani?
maneno unayoongea ni ya kishetani zaidi
kama sijakosea walisema chanzo cha ugomvi ni Ufoo kukataa kuhamia katika nyumba aliyopangishiwa na huyo Mushi saa unasemaje wamemdhulumu nyumba?

Mjifunze uzinifu na kudhulumu ma boy friends zenu nyumba walizowajengea wakiwa darfur au!
 
Back
Top Bottom