Recent content by mian

  1. M

    Bastola ya Aden Rage na CCM

    u[uuzi mtupu...na watanzania haya wala hatuyaoni
  2. M

    Hatimaye CCM yatimiza ahadi; Bajaji za Wagonjwa zapokelewa rasmi

    Hiki sasa kichekesho, hicho kitanda kwanza kwa bara bara zetu za vijijini kinaweza kukatika, gharama ya kununua hizo pikipiki ni bora wangenunua haice...hivi mama mjamzito uanze kumvalisha helment kwanza?
  3. M

    Mh lema jiulize kwa nini umesusiwa hafla arusha?

    naomba maranyingine Lema usiwakabidhi hela wazazi wewe nenda kalipe hiyo ada moja kwa moja alafu ufanye hafla ya kuwakabidhi risiti za ada...
  4. M

    Hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi Februari, 2011

    inapendeza kazi za mikono ya mwanadamu
  5. M

    Picha-maandamano chadema kahama ni nooooomaaaa

    Hakuna kulala hadi kinaeleweka..wanataka kugawana inchi yetu alafu watoto wetu wawe vibarua wao?
  6. M

    Lema akwepwa; Atakiwa kuleta ushahidi kwa maandishi siyo kuhutubia!

    kama ipo ipo tuuu...itakula kwao tu....kwani lema watamfunga mdomo wakati anaweza akafanya press confrnc tu na kutueleza...
  7. M

    Zitto atoa mwongozo wa kauli

    Hilo Madamu supika kakubaliana nalo
  8. M

    Picha hii inakupa mtazamo gani.

    Hapo inaonekana waziri anamwambia Dogo acha mambo ya .... Hivi vitu inabidi uvielewe haraka haraka sio lazima mkubwa akuambie..kibarua hutaki?...alafu anajibiwa ... Kibarua nataka sababu Kwanza...watoto wangu watakula nini?Mbili maisha ya starehe kama hivi mazuri
  9. M

    Tanzania: Kushuka kwa thamani ya shillingi, mfumuko wa bei na siasa zetu!

    Hayo ndio matokeo yakuendekeza USISIEMU badala ya kuangalia maslahi ya Taifa..Wale jamaa sio wazalendo na ndio maana wakapinga AZIMIO LA ARUSHA wakabariki AZIMIO LA RUSHWA...
  10. M

    Prof. Safari ajiondoa CUF; Atafakari pa kwenda!

    karibu chamani
  11. M

    Waziri Selina Kombani (Katiba na Sheria) na Hatima ya Katiba Mpya

    wale wale aliowasema Jenerali Ulimwengu...wakuu wa wilaya
  12. M

    Bomani ataka mjadala wa Katiba usiwe wa pupa

    Hana jipya anahesabu siku tu...atuachie tanzania yetu...hatuna muda huo vijana wakuendelea kushangaa shangaa mmekula za kutosha.. nawashauri mkubali sasa kabla hasira hazijawa nyingi plus chuki..
  13. M

    Tanesco mtatumaliza hivi

    Tatizo hapa si tanesco janami...mwanao akiwa mjinga mjinga kwa asilimia kubwa familia itakua imechangia.....Tanesco imeingizwa mkenge na Sirikali
  14. M

    Mpenzi wangu ananipa dozz ndogo

    Happiness is when what you think, what you say, and what you do are in harmony.
  15. M

    Picha mbaya

    JAMANI SASA KAMA HEDIMASTA AU CLASS TICHA NI MWANA INAKUAJE HAPO CLASI AU SKULI?:whoo::party:
Back
Top Bottom