BULLDOZZER
Senior Member
- Jan 18, 2011
- 103
- 0
taifa hili ilnaongozwa na majini kama hamkuwa mnajua-wewe angalia nchi ambayo viongozi wake wa ngazi ya juu wanakiri hadharani kukubali kulindwa na majini badala ya mungu; ndiyo maana laana juu ya taifa hili ni nzito sana kwa sababu ya makafara mengi sana ambayo viongozi wake wa juu wanatoa kila kukicha-makafara ni pamoja na damu za watanzania kwa maelfu yao kama vile mv bukoba, treni dodoma, hiyo ya jana kwa first lady accident!!!!!!!!!!!!!!!!!laana ikangukia taifa ndiyo utaona haya tunayoona kwamba hata viongozi usiowadhani wanaheuka kuwa hivi muonavyo. Sasa hivi sisiemu imeamua kucheza rafu kila jambo lakini kwa lugha laini ya utawala wa sheria !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kwa sababu wanaongozw na shetani baba wa uongo!!!!!!!!!!!!!!!
mtu wa mungu unatuchanganya kidogo. Sijui unashabikia mtu anayeongozwa na roho mtakatifu au mtakakitu au mtaka wake za watu?. Kweli shetani ana wafuasi wengi.