Mpenzi wangu ananipa dozz ndogo

Inawezekana anachoka sana kazini,au stress,vipi wakati mko free kama week end au akiwa holiday?[/

Tukiwa holiday pia hakuna tofauti sana, kitakachochange ni sometimes tunapiga asubuhi na wakati wa mapumziko mchana au hata usiku (ila si mara zote ni sometimes) ingawa wakati mwingine anasafiri wiki/2wks, anaweza kurudi na akawa na hamu kweli kweli, hata mchana ataniita tu, ila ni hilo moja tu, hakuna la zaidi.... na hata nikitumia ushawishi, ataniambia, ngoja nipumzike kidogo, ndo imetoka hiyo.. hadi kesho yake au keshokutwa
Usiogope kabisa mama ya rafiki yangu, chamsingi tafuta aina ya vyakula kama uji wa ulezi, au kahawa hasa kahawa, wakati wa jioni hata nikidogo mwambie nimekutayarishia kinywaji, jaribu hivyo, naamini utafanikiwa, najua mnapenda sn iwe kama wengine mashosti lkn mumeo ni wako ndivyo alivyoumbwa usipende kuwasikiliza hao, mpende sn, mpe kama nilivyokushauri naamini utaona mabadiliko, kahawa ni dawa nzuri.
 
@ Konakali, 1-anachojua ni kwamba nilikuwa na 1st boyfriend nimeachana nae, hajui history ya huyo jamaa
2- nilishawahi kumwambia na anasema inatosha, yeye anajiskia uchovu
3.. Yeye ni Community worker- mara nyingi anakuwa field
4- Yap, romance nyingi tu, kuanzia oral mpaka, mwili mzima na viungo vyake
5- Always ni kukumbatiana, miguu yake na mikono yake lazima ikunjane kwangu
6- Chakula ni mchanganyiko kwa kweli, sato, kuku, viazi,mbogamboga ugali wali, yaani vyakula vyote na anachagua yeye kwa gharama yoyote ile, kwenye masuala ya msosi ni first kabisa, choice murua,
7- Walk- atleast 3 times per week
8- kwa maelezo yake mimi ni wa pili
9- si mtu wa mawazo sana, coz akishamaliza saa za kazi, mambo ya kiofisi yameisha, masuala ya maisha tunakuwa tunajadili wote, na mipango yote inakuwa kwenye mstari

Mbona hamna pweza apo?
 
Usiogope sn, mafanikio ni makubwa ila hofu yako ni kwasababu unasikia wengine wanagalagazwa mpaka wanakimbia chumba na wewe ungependa kuuona huo mtanange, chamsingi jaribu kupa kahawa wakati wa jioni kama kiburudisho hasa kavu, na pia mpe na uji wa ulezi, pia mwambie awe anakusubiri akisikia kupiga kabao basi atulie au a hang on a sec, ukisha pokea basi aendelee, kama akiweza akungoje tena mpaka ki jamaa kikisema naona jota basi aweza tulia lkn kila anaposikia kukuacha mwambie asimame kidogo au ateme kidogo aanze upya naamini atakufikisha pale unapotaka, JF shule.
 
Happiness is when what you think, what you say, and what you do are in harmony.
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.
 
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.

Dada jiangalie labda ladha ya kitumbua chako hajaifurahia jaribu kuongeza mahanjumati na siku nyingine mwende nje ya nyumbani pia.
 
sasa nimeamini watu wanapata relationship humu JF,maana hizi coment sishangai baada ya siku chache mtu anakuja na thread kuwa ooh avatar/ coment ya fulani eti inanichanganya na kulegee kila ninapoiona/kuisoma...
pole mwaya wee, mimi na mwenzangu tunapeana ngoma droo! Kama ni 3-3 kwa wakati mmoja kila siku!
 
Hivi wiki ina siku ngapi afrodenzi...in case umesahau manake naona kampeni zimekuchanganya kabisa....lol

Kaizer weki ina siku saba...
lakini ye anafanya mara 3 mpaka 4 kwa wiki...
na kama wiki ina siku 7 unaweza kufanya hizi nne ndani ya siku 2...
na hizo zilizobakia je???
 
kwanza hebu jiweke mbali kuongelea mambo ya chumbani kwa mashoga zako hiyo ni hatari sana sana pengine hayo unayoambiwa kuwa mashoga zako wapewa magori 3-4 inawezekana ni umbea tu wakubadilishe mawazo utoke nje. pia kama mumewe akikupiga kimonya na wewe unakojoa na kulizika sasa tabu ya nini bibie?. pia hebu angalia vyakula anavyokula huyo mumeo ni muhimu kujua kuna vyakura si vizuri kwa mwanaume ndo mana wanaume wengii siku hizi nguvu za kiume ni kidogo kutokana na vyakula wanavyo kula jitaidi kumpikia vyakula vya alisili mfano uji wa ulenzi uliochanganywa na maharage,mchele,karanga etc na atumie asali mbichi baada ya sukari,. pia mazoezi yanasaidia kumfanya mwanaume kuwa na nguvu zaidi za kiume kwa sababu damu inakuwa inazunguka kama inavyotakiwa mana msukumo wa damu unakuwa mkubwa.
 
Ndugu zangu,
Nimekuwa na mpenzi wangu muda mrefu sasa, tunaishi kama mume na mke, na kulingana na maisha tunayoishi, nina uhakika hana msichana nje, kinachonikwanza ni kila tukitenda tendo la ndoa baada tu ya kumaliza goli la kwanza basi harudii tena na wakati mwingine analala kabisa, na hata nikimshawishi kupata kitu cha pili , basi jogoo hasimami kabisa, na kwa wiki tunaweza tukakutana mara 3 -4 kwa kimoja kimoja tu, na sometimes huwa anasafiri wiki-wiki mbili, ila hata akirudi, utaratibu ni ule ule, atafanya mara moja tu, mpaka kesho yake au keshokutwa anasema inatosha kwa leo... hii ni utaratibu since nimeanza nae urafiki, mwaka sasa, je nichukulie hali ya kawaida au kuna tatizo... style nazitumia sana, ufundi mwingi nafanya, kwa kweli maandalizi ya mbinu tofauti daily nafanya.. ila lastly anafanya mara moja tu... je wandugu, hii ni kawaida au kuna tatizo hapa (simhisi kufanya nje kabisa kama ana msichana katu)

...Obese? ...au shibe ndogo? ...mshawishi aanze mazoezi ya mwili ajenge stamina.
Otherwise, effective communication baina yenu wawili itamjengea uelewa kwamba
"demand is greater than supply."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom