hata sadam asingekubali kukaguliwa hakuna ambaye angeweza kumpiga.marekan na genge lake niwatu hatari kwa afya ya nch nyingne
Sent using Jamii Forums mobile app
mim naamin wanaweza kuwapata ila kama tutaanzia kwa wale walokua wanamfatilia ambao aliwataja hadharani tuanzie hapo.yawezekana wamemfatilia ndo wakampatia dodoma.watusaidie tuujue huo mtandao matukio hayanilazima yafike mwisho sasa.tunataka tanzania salama.niushauritu.nisijeambiwa nachochea au...
Sio tapeli ametoa hoja zake zinahtaji elim sana kuzijibu.nikweli quran inatambua nabii eliya hakufa alibaki
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Bakwata ni ukafiri mojakwamoja.hoja i issa kujiita mtume haitoi nafasi ya bakwata kuwapa kazi polisi kumshughulikia shekh issa.quran haikubalian na kuongozwa na na au kuhukumiwa kwasheria hizi.pili hoja ya issa walitakiwa mashekh wakae wafanye shura nae kulijadili kwa hoja.huo ndio uislam.tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.