....El Abry...hiii ilikua funga kaz Dar to singida...dereva wake alikua anajulikana kama msela fisi!!King kross ir-dom
Ruvuma line Songea to Dar( a) Tahfif- Kizota, Arusha---Tanga
( b) Kipengule- Arusha-----Dar
( c) Royal Sumayi, Dar-----Arusha
( d) Sahib, Kamujingijingi, Arusha----Singida
( e) Salama Star,Dar----Arusha.
Sikudhan mosh ugweno( a) Tahfif- Kizota, Arusha---Tanga
( b) Kipengule- Arusha-----Dar
( c) Royal Sumayi, Dar-----Arusha
( d) Sahib, Kamujingijingi, Arusha----Singida
( e) Salama Star,Dar----Arusha.
Thirori Usangi Arusha
Safina lilitumbukia MTO Katanga moshi pale 1985 daaa lilichinja mbaya!!Acha kabisa, Safina liliwahi tumbukia mto Kikavu likaua watu wengi...
Zama za 1985 stand ilikuwa kisutu.Muongo sana,ubungo niya juzi tu.
Tafsiri ya wachaga kindo=kitu kyako=chako mbe =baba ukiunganisha walimaanisha KITU CHAKO BABA.Kwa wale wa Marangu kilema, eti Kindokyakombe ni vifupi vya majina ya vijiji??
Safina lilitumbukia MTO Katanga moshi pale 1985 daaa lilichinja mbaya!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Greek inasadikika alishafariki kati miaka ya 2009/2010hivi yule driver greek yuko wapi wadau?....maana alikuwa anakimbiza hamna mfano