Kiwanja kinauzwa Chanika mwisho

Kiwanja kinauzwa Chanika mwisho

Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 6 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.

Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi kiwanja Mara mbili yaani 21 kwa 25 na kuuza 3,500,000.
So kwa atakaevutiwa anaweza kuchagua kununua chote kwa Million 6.5 au nusu kwa bei niliyotaja hapo juu. Karibuni sana wadau.

Nimelazimika kupunguza bei baada ya kukosa Wateja na ninahitaji pesa ya kuendeleza biashara zangu.

Asanteni wadau kwa ushirikiano wenu
Kwa mawasiliano zaidi 0717079379
Kama badokipo nicheki broo
 
mkuu kwa sasa pesa imekua ngum sana ndo maana imekua hivyo,5m unaeza kupata mteja nikiwemo ata mimj

Sent from my SM-G925T using JamiiForums mobile app
 
Kitunda Magole(Kiwanja)

Kitunda Magole, near Mwanagati. Umeme na Maji hapo hapo.
50Ft X 50Ft. Pamepimwa Kienyeji kwa Mpangilio Mzur kwa Makazi bora.

8.6Kms from Banana.
18.9Kms from Clock Tower.

Bei: 6.5M
Mazungumzo yapo.

Pm

ea3b5ead5e0d6ac615f770cc27c06d0d.jpg
 
Mm Nina kiwanja kipo Mbagala charambe kituo kwa mbiku!!!
Urf ft 45
Upana 45
Tayari ina msingi wa kujenga nyumba kubwa
Umeme upo umbali wa kitu cha magari ni mita 200 ! Kutoka rangi 3 mpaka hapo nauli 500 tu ! Kwa Noah! Tayari ina tofali 1000 na Mchanga lory nzima ! 7:5 tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 5 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.

Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi kiwanja Mara mbili yaani 21 kwa 25 na kuuza 2,500,000.
So kwa atakaevutiwa anaweza kuchagua kununua chote kwa Million 5 au nusu kwa bei niliyotaja hapo juu. Karibuni sana wadau.

Nimelazimika kupunguza bei baada ya kukosa Wateja na ninahitaji pesa ya kuendeleza biashara zangu.

Asanteni wadau kwa ushirikiano wenu
Kwa mawasiliano zaidi 0717079379
IMG-20170830-WA0006.jpg
IMG-20170830-WA0005.jpg
IMG-20170830-WA0004.jpg
IMG-20170830-WA0003.jpg
IMG-20170830-WA0002.jpg
IMG-20170830-WA0001.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay nilishaedit tayari na wote tunauza kiwanja kimoja. Lengo ni kuongeza nguvu ili tuweze kuuza mapema zaidi. Angalia mwanzo wa thread utagundua kuwa bei imeshuka tayari. Samahani na asante kwa ushauri
NANI DALALI NA NANI MMILIKI HALALI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom