Wingi wa rocket angani kuna nini?

Wingi wa rocket angani kuna nini?

Hizo ni ndege za abilia zinazo toka nara moja kwenda bara lingine tena ni kubwa mno hata tz inawezekana ikashindwa kutua kutokana na udogo wa viwanja vyetu
Unaweza kuta huyu ni mwalimu.
 
Kila siku hizi zinapita rocket kwenye anga.kuna project kubwa zimeongezeka zinahusu nini?
siyo Rocket mkuu hizo ni ndege kubwa tu za Masafa ya mbali ambazo zinapita anga la juu sana
 
Sidhani kama zile ni ndege za abiria.. Kwa umbali ule mpaka hazionekani unaona moshi tu.. Haiwez kuwa imebeba abiria
ni ndege za abiria ambazo hazitui hapa bongo wala nchi za jirani na hapa ndomana zinapita juu sana... ni mfano wa Fly emirates, klm, au qatar airways hizi pia zina uwezo wa kupita international airspace
 
Good answer, na zinapita kwa kuomba kama nchi hakuna ulinzi wa anga wanajipitia tu bila kuomba, chombo cha ulinzi wa anga angalia hiyo Avatar yangu kitu hiki kinaitwa S 500 ni cha Mrusi hatari sana NATO hawasogelei anga lako ukiwa nacho.
ni aina ya hizo ziliidingua Malaysia airline kule Ukraine futi 30000 juu, nadhani zina heat seeking missile
 
hapa duniani mbwembwe zote zile ni kwaajili ya kitu inaitwa escape velocity unajua dunia ina vuta vitu toward its centre of gravity so ili utoke nje ya anga la dunia lazima uwe na nguvu ya ziada kwenda against na mvuto wa dunia hivyo ukishatoka outside anga ladunia hautaji tena zile mbwembwe kwani gravity itakua equal to zero......Nb sijasoma phisics but kama hujaelewa unaweza kuuliza nami nitakupa kile nikijuacho
yah nasikia ukiwa huko space force ndogo tu aidha umejupush wewe mwenyewe against something unaondoka moja kwa moja unapotelea kwenye space unakuwa floating object kama vimondo huko juu unaelea forever bila mwisho
 
Nikweli zinapita isivyo kawaida.acha zile za kijesh zinazopita katika anga LA dar nakibiti
 
Sidhani kama zile ni ndege za abiria.. Kwa umbali ule mpaka hazionekani unaona moshi tu.. Haiwez kuwa imebeba abiria

Dah we jamaa ni kiboko kwani basi likiwa umbali mrefu na Abilia si linaonekana kama bajaji tu? Zile ni ndege za Abiria ila zinakuwa zinapita Anga ya juu sana
 
Jamaa ana point mnambeza bure, kuna drons ziko angani mida ya usiku hasa barabara ya morogoro road, inawezekana kuna tafiti au project fulani hasa usiku rahisi kuziona nadhani ndiyo anacho ulizia. Msaidien msimcrash
 
Hizo ni ndege za abilia zinazo toka nara moja kwenda bara lingine tena ni kubwa mno hata tz inawezekana ikashindwa kutua kutokana na udogo wa viwanja vyetu huo mstali unao uona ni moshi unao toka kwenye injini kusabu ukipanda juusana huwa hakuna upepo kwa hiyo moshi huwa hausambai haraka kutokana na hali ya huko angani
Ule sio moshi
 
Mkuu zile sio rocket ni ndege za abiria na za kimataifa hapa mwanza zinapita juu Sana katika anga la kimataifa ambalo kule juu kuna baridi Sana sasa zile engine za ndege ni za jet zinapovuta upepo kutoka mbele zikapita kwenye propeller na kutokea upande wa pili zinatoa mvuke ambao ndo tunauona then wananchi mnasema ni Rocket ,sio kweli rocket ni za kwenda anga za juu zinarukia China ,America ,Europe na Urusi direct to the space
Du upo vizuri
 
Hizo ndio rocket
Nimekumbuka zile stori za utotoni ndege ikipita juu sana ikaacha msitari mweupe tuliambiwa ni rocket imebeba wazungu.

Eti rocket inaenda horizontal au sio alafu rocket inaenda kutua kwenye uwanja wa ndege
67d5f257b32b93ef0b42ec783696765d.jpg

We mleta mada hizi ndo rocket umeziona angani?
 
Jamaa ana point mnambeza bure, kuna drons ziko angani mida ya usiku hasa barabara ya morogoro road, inawezekana kuna tafiti au project fulani hasa usiku rahisi kuziona nadhani ndiyo anacho ulizia. Msaidien msimcrash
" barabaravya morogoro road. " Nd'o nini hiyo?!!
 
Back
Top Bottom