Kama utakuwa mtafiti kuna humu hawapendi kusikia mafanikio ya wenzao japo yanakuja katika hali ya changamoto, hivyo mtu akiona katika upande wa mafanikio roho yake yakorosho inapata moto na kulipuka ndio unaanza kuona maneno kama : wewe nimtunzi mzuri, acha uongo na maneno yanayofanana na...
Bangi tu tupu zunakusumbua huna ki ngine karibu kumuuliza aliyekupa bangi atakua anakumbuka jina lako. Vinginevyo ushaanza kuwa taahira so usisumbuke sana maana hata ukikumbushwa halina maana tena.
Kila aliyezaliwa na mwanamke sharti afe, ushangilie usishangilie kufa kupo palepale, ila kuna kila sababu ya kumshukuru Mungu maana wapo waliokufa punde tu baada ya kuzaliwa, na wengine wanateseka na maradhi hospitalini na hata hawajui mwaka umeisha maana hauna maana kwao kwa maumivu...
Shida inakuja kwa cc binadamu tatizo la kiroho tunatibu kimwili na la kimwili tunatibu kiroho, nenda hospt kwa mabingwa wa magonjwa ya ngozi baada ya hapo fuata hatua nyingine japo kuokoka sio vibaya kama hujaokoka lakini tunalenga tatizo sio kuzunguka tatizo.
Nadhani haupo serious. Swala la kuoa ni swala binafs sana kuliko la kifamilia huyo mke.sio wa mamaako na ataishi na wewe sio mamaako so jifikirie mara 2 kwa hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.