Moto mkali umezuka Eneo la Soko la Mbuyuni hapa Moshi. Moto umeanza muda wa saa Mbili Kasoro usiku huu. Chakushangaza sana ni pale wananchi walivojaa kwa wingi eneo moto ulipotokea. Fire wamewasili eneo la tukio Kama baada ya nusu saa na kwa sasa shughuli za kuuzima moto huo zinaendelea. Chanzo...
Mkuu mbona mimi niki click kwenye movie baada ya kuskip Ad inanletea link nyingine yenye maandishi kama ya kiarabu afu kunakua na kama 2 options ila sijui kabsa hiyo lugha, msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.